Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Ni jana tu clouds fm wametunukiwa tunzo na makamo wa rais mh.g.bilal tunzo ya kuwa super brand radio station,kwa mara ya pili wanapewa tunzo hyo na ni radio ya kwanza kupata tunzo hyo kwa hapa Tz,hii tunzo inayotolewa kwa makampuni yaliyofanya vizuri kwa mwaka
mzima,makampuni mengine yaliyopewa tunzo hyo ni kampuni ya bia ya serengeti,airtel,vodacom n.k yoo
hongereni clouds,jo kusaga+ruge+c.fm workerz yoo
mzima,makampuni mengine yaliyopewa tunzo hyo ni kampuni ya bia ya serengeti,airtel,vodacom n.k yoo
hongereni clouds,jo kusaga+ruge+c.fm workerz yoo