KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Mramba kesi yake itaenda kwa kazi zaidi mara hii
kilichomwangusha mramba ni dharua yake , aliwatukana wamama wa sokoni mashati, kwa kuwaonyesha ishara mbaya sana, kuja kwa dr slaa mara mbili, vijana kujitolea kuanzia police wa rombo, wauza fedha mpaka, mabodaboda na SELASINI kuwa karibu na watu warombo , bila kuwadharau, sasa, ndugu yangu ndege ya uchumi ,Rafiki yake MRAMBA , maulid jana kalala mapema , lucas mchomba haonekani, hapa tarakea mjini DIWANI wa chadema ksshinda hata bila kupiga kampeniMramba ametuaibisha Warombo! Asante sana Baba na Shangazi zangu kwa Kufanya kile nilichowaomba kufanya Asanteni sana
Napenda kuchukua Fursa hii kuwapongeza Watanzania wa Jimbo langu la Rombo Kwa kumwangusha Fisadi Mramba.
Pamoja na Mkwere kumnadi ni mchapa kazi, Nyie mlitafakari na kuzichambua Mbivu na mbichi.
Binafsi hii imekuja kama mshangao fulani kwangu. Huyu jamaa alikua anabebwa sana na matajiri a.k.a
mafisadi wa kule Rombo.
Napenda tena niwapongeze tena wanarombo kwahili.
MUNGU IBARIKI TANZANIA