The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Nipe Castle Baridi.......sisi tulishachinja Karamagi safi sana Rombo!
Mramba kashindwa, period, nasikia NEC wamethibitisha i am serious
Tupe angalau data chache kwa ukamilifu, angalau kwa kituo kimoja
Habri sio za kweli
Obama:
Your kiding!!
Huyu ni mchapakazi...alinadiwa...
Nguzo ya zamani... etc
God` I dont belive hivi vitu vinawezekana..!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu imeshatangazwa habari ndio hiyo, sasa ndio atakuwa mfupiiiiiiiiiiiiiiiiiii, maana sijui kama Dr Slaa akiingia Ikulu atapona
Tupe ukweliHabri sio za kweli
i iweje mtawaliwe na fundi cherehani( mshona chupi)