Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Hakika kuna kila sababu ya kukipongeza kituo cha televisheni cha Star Tv kwa ubunifu wao wa kufikisha ujumbe husika kwa kutumia katuni ya wanamuziki. Kwanza walianza na Baba nipe pesa watoto wanalia njaa na sasa wamekuja na Tanesco. Hongereni sana na mzidishe kubuni kwa yale yanayoikabili jamii kwa sasa.