Hongereni NSSF kwa kufanya hivi

Safi sana

hata tuonyeshe hayo matatizo ya matumizi ya NSSF kwenye hizi project za ujenzi..nothing wrong with sharing information and data ili kuweza kusupport argument yako

Halafu hebu tuonyeshe ni project ipi bei imeongezwa mara kumi...surely shirika kama hilo lina ma audotors, external auditors na kadhalika na kama kungekua na tatizo wangelisema au naongopa

Basi tuletee mfano wa mradi ahata mmoja ambao umetumia kama mfano wa hoja yako

Game Theory...
Kama huyo MD wa NSSF ni muislam tumpe zake pongezi! Lakini kama ni Mkristo tomzomee kwa nguvu zetu zote!
 
niliwai kuandika post juu ya Nssf na mashirika kama haya. huu ni mfano mzuri lakini sidhani mtu akifanya wajibu anaotakiwa kufanya anatakiwa apate hongera. haki ya polisi kama mfannyakazi yeyote ni kuapta makazi bora na wajibu wa NSSF wanakusanya pesa za wadau ni kusaidia katika kwenye mambo kama haya.

Pilii hii ni part ya solution sio solution kamili . sababu nyumba hizi si mali ya ya hao polisi. Je hao polisi wakistaaafu wataenda kushi kwenye nyumba gani? Kwa sababu mashirika kama haya yanakusanya hela kwa ajili ya pension za wadau lilenge kwenye miradi amabayo mstaafu kweli akistaafu hata akiwa hana pesa ataona shirika lilimfaaa.
 
Safi sana

hata tuonyeshe hayo matatizo ya matumizi ya NSSF kwenye hizi project za ujenzi..nothing wrong with sharing information and data ili kuweza kusupport argument yako

Halafu hebu tuonyeshe ni project ipi bei imeongezwa mara kumi...surely shirika kama hilo lina ma audotors, external auditors na kadhalika na kama kungekua na tatizo wangelisema au naongopa

Basi tuletee mfano wa mradi ahata mmoja ambao umetumia kama mfano wa hoja yako


Kujenga nyumba kwa ajiri ya jamii ni vyema sana na ninatoa suport kubwa kwa NSSF. Na pia kama wengine walivyosema MIFUKO yote ya hifadhi za jamii yaani PPF, PSPF , NHIF, CWT LAPF, yote inatakiwa kutoa mifano ya kuigwa kwa manufaa ya jamii. Kwani kwa mfano Chama Cha Walimu kinakusanya pesa nyingi sana, lakini hakijawahi kuwekeza kwenye nyumba za walimu wakati ndiyo wanaotoa hizo pesa!!! Hivi kingeamua hata kujenga nyumba Mbili kila Wilaya kwa mwaka kingeshindwa??? .Viongozi walioko huko wamelala na kujinufaisha wenyewe.

Kuhusu gharama halisi ya project ni muhimu sana kuuliza kwani ufisadi mkubwa hufanyika huko, Hao Auditors unaosema '' Most of them they are good as nothing'' Most auditors niliokwisha kutana nao wakishapewa fupa tu, huandika report nzuri ya kumsifu mwajiri wao kwa wakati huo ambaye huwa ni Mkurugenzi wa hizo kampuni au mashirika. Kwanza Auditor ni wewe MD ndiyo unawapa kazi, na wakikuharibia next year huwapi kazi!!! What do you expect.!!!

Umeomba akupe mfano wa matumizi mabaya ya pesa za project !!! Ina maana wewe upo Tz hii au huwa unafunga masikio pindi anayetuhumiwa anapokuwa kipenzi chako??!! Project ya kununua Magodown pale ubungo toka NSSF na Manji kwa Bil. 3 na kuyakarabati kwa pesa ya NSSF Bil. 9 na kuyauza kwa NSSF kwa Bil. 40 siyo matumizi mabaya hayo ya pesa za project??????!!!

Tusiwe biased wakati tunataka kutoa ukweli ili tusaidie taifa letu. Hata kama mtu ni kipenzi chako, akiharibu mwambie ukweli, na akifanya vizuri mpe haki yake.
 
I hear you man, lakini haya yote yanahitaji watu wenye vision kama DG wa NSSF Dr Dau, jana lile jengo la PCCB jipya wamejenga wao na rais alienda kulfungua,University kule Dodoma ukiona faculty inayojengwa na NSSF utafikiri uko UCLA lakini muhimu zaidi nadhani serikali ingewawezesha hawa NSSF wakaendeleza miradi zaidi ya ujenzi wa jamii sehemu za Mwanza South, Iringa, nadhani tayari washaanza kujenga nyumba za wanajeshi kule Arusha

Unajua it takes alot of guts kuwaambia watawala kuwa this is what we should do...na hapo bado hatujaingia kwenye daraja la Kigamboni

Je unazo picha za Mwanza South? kama unazo tafadhani naomba utuwekee

mwamuuu,punguza mwamu chonde chonde watajua haokama kakayo huyooo!!!
 
Kujenga nyumba kwa ajiri ya jamii ni vyema sana na ninatoa suport kubwa kwa NSSF. Na pia kama wengine walivyosema MIFUKO yote ya hifadhi za jamii yaani PPF, PSPF , NHIF, CWT LAPF, yote inatakiwa kutoa mifano ya kuigwa kwa manufaa ya jamii. Kwani kwa mfano Chama Cha Walimu kinakusanya pesa nyingi sana, lakini hakijawahi kuwekeza kwenye nyumba za walimu wakati ndiyo wanaotoa hizo pesa!!! Hivi kingeamua hata kujenga nyumba Mbili kila Wilaya kwa mwaka kingeshindwa??? .Viongozi walioko huko wamelala na kujinufaisha wenyewe.
chama cha walimu ni trade union na kazi yake ni kuwatetea walimu na kadhalika lakini hawakusanyi hela za kutosha kujenga...
kato lao ni dogo sana
 
Hakuna! NSSF ni wezi wa fedha za wanachama ambao wengi (kama si wote) hawajui hatima yao baada ya ajira kukoma. NSSF wamesahau kazi yao ya msingi - Social Security na badala yake wanafanya kazi kama Investment Bank. Well, si vibaya kuwekeza lakini performance yao haiwezi kupimwa kwa idadi ya maghorofa waliyoyajenga. Bali itapimwa kwa ubora wa huduma kwa wanachama wake. Kwa mujibu wa taarifa ya CAG inaonekana hakuna faida yoyote kwa NSSF katika uwekezaji unaofanywa na shirika hili ambalo linajali maslahi ya wachache na kuwasahau wanachama wake. Kwa mfano, NSSF iliwahi kununua jengo (apartments) maeneo ya Ada Estate kwa kiasi cha TZS 1.4 billion ($1.3 million) na kulikarabati kwa gharama za TZS 5.94 billion ($5.6 million). Baada ya ukarabati, jengo hilo liliuzwa kwa $6.5 million. What is the profit margin in this deal? NSSF ni wezi, period!

Source: The East African, June 8-14, 2009. "NSSF: A Case of firms "born" to tender"


Duh hiyo kali
$ 1.3 + $ 5.6 = $ 6.9, Sold for $ 6.5
Profit: $6.5 - $ 6.9 = $ -0.4 Mil, Tsh - 700,000,000/= ( Loss)
Excluding Labour+allowances za wasimamizi, extra duty and misleneous

Na wasiwasi aliyeuziwa anauhusiano na viongozi wa NSSF
 
Last edited:
chama cha walimu ni trade union na kazi yake ni kuwatetea walimu na kadhalika lakini hawakusanyi hela za kutosha kujenga...
kato lao ni dogo sana



Mmnnnn E bwana unasema wanakusanya kidogo??

Wanakata 2% of the salary ya kila mwalimu Tanzania. Tuchukue mfano mmoja wa walimu wa kima cha chini kabisa wanolipwa 150,000/= kwa mwezi 2% x 150,00 = 3000/= na kuna walimu zaidi ya 100,000/= the minimum you can get ni 300,000,000/= kwa mwezi, hapo tumeacha wenye mishahara ya hadi 600,000/= siku hizi wapo wengi tu.

Huoni wangeweza kuwekeza hizo pesa, na wakawa wanajenga nyumba za kuwapangisha walimu wanaohangaika kila kukicha nyumba???? kujenga lile jengo mwalimu house kunamsaidia nini mwalimu.
 
hawa nssf wanajipendekeza tu kwa polisi,kwanini wasijenge nyumba pale manzese ili watu waishi sehemu nzri
 
wanajua polisi hawatawapelleza kwa ufisadi wao wa kula mafao ya waliokufa na wasiodai
 
hawa nssf wanajipendekeza tu kwa polisi,kwanini wasijenge nyumba pale manzese ili watu waishi sehemu nzri

Ungeliza ungeambiwa

mbona husemi nyumba za kule Tabata au siyo nyumba zile

ningekutonya kuhusu nyumba lakini unaonekana jeuri sasa utakula Jeuri yako
 
Ndiyo maana jana wamefungua jengo la PCCB lililojengwa na NSSF ili PCCB nayo isiwafuatefuate wanapokula hizo deal zao

unajua sina hata la kukujibu

na ile University of Dodoma ili iweje? wafanyakazi wa NSSF wasome bure?

Daraja..watumie wanachama wa NSSF peke yao au vipi?

kazi kweli kweli
 
unajua sina hata la kukujibu

na ile University of Dodoma ili iweje? wafanyakazi wa NSSF wasome bure?

Daraja..watumie wanachama wa NSSF peke yao au vipi?

kazi kweli kweli

GT,
kwa hili naungana na wewe 100% kuwapa NSSF pongezi. Wanakotoa hizo pesa sitaki kujua, lakini wanaonesha kwamba wanawajali wananchi. Wameanza na Polisi, PCCB, Chuo kule Dodoma na itafika wakati watawafikia wananchi wengine, kila safari ina mwanzo.
 
Kujenga nyumba kwa ajiri ya jamii ni vyema sana na ninatoa suport kubwa kwa NSSF. Na pia kama wengine walivyosema MIFUKO yote ya hifadhi za jamii yaani PPF, PSPF , NHIF, CWT LAPF, yote inatakiwa kutoa mifano ya kuigwa kwa manufaa ya jamii. Kwani kwa mfano Chama Cha Walimu kinakusanya pesa nyingi sana, lakini hakijawahi kuwekeza kwenye nyumba za walimu wakati ndiyo wanaotoa hizo pesa!!! Hivi kingeamua hata kujenga nyumba Mbili kila Wilaya kwa mwaka kingeshindwa??? .Viongozi walioko huko wamelala na kujinufaisha wenyewe.


No comment
Kuhusu gharama halisi ya project ni muhimu sana kuuliza kwani ufisadi mkubwa hufanyika huko, Hao Auditors unaosema '' Most of them they are good as nothing'' Most auditors niliokwisha kutana nao wakishapewa fupa tu, huandika report nzuri ya kumsifu mwajiri wao kwa wakati huo ambaye huwa ni Mkurugenzi wa hizo kampuni au mashirika. Kwanza Auditor ni wewe MD ndiyo unawapa kazi, na wakikuharibia next year huwapi kazi!!! What do you expect.!!!


Sasa kama hatumwamini auditor sijui tumwamini nani? What about kamati ya bunge ya mashirika ya uma?
Umeomba akupe mfano wa matumizi mabaya ya pesa za project !!! Ina maana wewe upo Tz hii au huwa unafunga masikio pindi anayetuhumiwa anapokuwa kipenzi chako??!! Project ya kununua Magodown pale ubungo toka NSSF na Manji kwa Bil. 3 na kuyakarabati kwa pesa ya NSSF Bil. 9 na kuyauza kwa NSSF kwa Bil. 40 siyo matumizi mabaya hayo ya pesa za project??????!!!

Kuhusu magodown nenda kajiandae vizuri kisha uje na data then tujadili kwa sababu maelezo yako hayana ukweli hata kidogo..lakini kwa kukufafanulia tu kuwa NSSF ni shirika makini na liko chini ya watu makini hayo unayoyasema hayakufanyika, hayajafanyika na hayawezi kufanyika kwa sababu Kwa mujibu wa Kanuni za Fedha [Financial Regulations] na Sera ya Uwekezaji [Investment Policy] ya NSSF, maamuzi kuhusu uwekezaji huanzia kwenye Kamati ya Uwekezaji ya Menejimenti [Management Investment Committee]. Kamati hii hufanya uchambuzi wa miradi yote inayowekezwa na Shirika na iwapo itaridhika kuwa miradi hiyo ina faida kwa Shirika, Kamati huwasilisha mapendekezo yake kwenye Kamati ya Bodi ya Wadhamini inayoshughulikia masuala ya Fedha na Uwekezaji. Kamati ya Bodi nayo hufanya uchambuzi na kujadili hoja zinazowasilishwa na Menejimenti. Kamati ya Bodi ikiridhika na hoja hizo, huwasilisha mapendekezo kwenye Bodi ya Wadhamini ya NSSF [NSSF Board of Trustees] kwa maamuzi ya mwisho. Sasa unamaana hawa wote na hii mechanism yote kwako haina maana au vipi

Kwanza hebu lete sources zako z kisha tujue mwelekeo uko wapi





Tusiwe biased wakati tunataka kutoa ukweli ili tusaidie taifa letu. Hata kama mtu ni kipenzi chako, akiharibu mwambie ukweli, na akifanya vizuri mpe haki yake.


Bias itoke wapi wakati kazi iko open inaonekana? Na kama unataka kupekuwa utendaji wa Mashrika ya Umma usiishie NSSF. How about TIB? ATC?

usisahu kutaja sisahau kuandika MAZURI ya NSSF kama yapo. Lakini sisi tunayajua yafuatayo:


-Dodoma University where NSSF inajenga NUSU ya Chuo [20,000 students]

-Mabibo Hostels Chuo Kikuu DSM [5,000 students]

-Nyumba za Jeshi

-Nyumba za Polisi

-Daraja la Kigamboni (anytime)



Picha nilizoziweka hapo juu zinaonyesha fika kuwa askari wetu wanaishi katika sub human conditions. Inwezekana hili hulijui kama hao wengine wanaishi nje ya nchi miaka mingi

ohh how can i forget kuwa

-Ujenzi wa Jengo la Bunge lenye hadhi
-ujenzi wa Balozi zetu mbalimbali ukianzia Kenya.

Hapa kwenye nyumba za balozi NSSF imesaidia sio tu kuokoa mamilioni ya dola ambayo serikali inalipa kama kodi bali pia NSSF wameiondolea serikali fedheha ya kukodi nyumba na kuadhiriwa na landlords kama watachelewa kulipa.

Contrary na alivyosema jamaa hapo juuu usidhani NSSF inafanya miradi hiyo hapo juu ili KUJIPENDEKEZA serikalini. La hasha! Miradi YOTE hiyo inaendeshwa kwa misingi ya kibiashara na NSSF inapata a much higher return than the alternative investment of the SAME tenure




-in 2001 wakati Dau anajiunga NSSF, Contribution zilikuwa 39 billion. Leo ni over 200 billion

-growth in Investments


-NSSF inatoa mafao 7 kati ya mafao 9 yaliyomo kwenye ILO Convention 102 ya 1952. NSSF TANZANIA inatoa mafao mengi zaidi kuliko taasisi YOYOTE ya pensheni kusini mwa Sahara INCLUDING South Africa. No wonder Kenya, Uganda, The Gambia, Sierra Leone etc WANAPIGANA VIKUMBO kuja kujifunza NSSF

-Staff Welfare: 2001 minimum wage 52,000. Now over its 400,000

Kwa kumalizia tuu ni kuwa wiki iliyopita kwenye SABA SABA (NSSF) ilikuwa second overall winners in all categories

sasa tabu ya nini ?
 
No comment



Sasa kama hatumwamini auditor sijui tumwamini nani? What about kamati ya bunge ya mashirika ya uma?


Kuhusu magodown nenda kajiandae vizuri kisha uje na data then tujadili kwa sababu maelezo yako hayana ukweli hata kidogo..lakini kwa kukufafanulia tu kuwa NSSF ni shirika makini na liko chini ya watu makini hayo unayoyasema hayakufanyika, hayajafanyika na hayawezi kufanyika kwa sababu Kwa mujibu wa Kanuni za Fedha [Financial Regulations] na Sera ya Uwekezaji [Investment Policy] ya NSSF, maamuzi kuhusu uwekezaji huanzia kwenye Kamati ya Uwekezaji ya Menejimenti [Management Investment Committee]. Kamati hii hufanya uchambuzi wa miradi yote inayowekezwa na Shirika na iwapo itaridhika kuwa miradi hiyo ina faida kwa Shirika, Kamati huwasilisha mapendekezo yake kwenye Kamati ya Bodi ya Wadhamini inayoshughulikia masuala ya Fedha na Uwekezaji. Kamati ya Bodi nayo hufanya uchambuzi na kujadili hoja zinazowasilishwa na Menejimenti. Kamati ya Bodi ikiridhika na hoja hizo, huwasilisha mapendekezo kwenye Bodi ya Wadhamini ya NSSF [NSSF Board of Trustees] kwa maamuzi ya mwisho. Sasa unamaana hawa wote na hii mechanism yote kwako haina maana au vipi

Kwanza hebu lete sources zako z kisha tujue mwelekeo uko wapi








Bias itoke wapi wakati kazi iko open inaonekana? Na kama unataka kupekuwa utendaji wa Mashrika ya Umma usiishie NSSF. How about TIB? ATC?

usisahu kutaja sisahau kuandika MAZURI ya NSSF kama yapo. Lakini sisi tunayajua yafuatayo:


-Dodoma University where NSSF inajenga NUSU ya Chuo [20,000 students]

-Mabibo Hostels Chuo Kikuu DSM [5,000 students]

-Nyumba za Jeshi

-Nyumba za Polisi

-Daraja la Kigamboni (anytime)



Picha nilizoziweka hapo juu zinaonyesha fika kuwa askari wetu wanaishi katika sub human conditions. Inwezekana hili hulijui kama hao wengine wanaishi nje ya nchi miaka mingi

ohh how can i forget kuwa

-Ujenzi wa Jengo la Bunge lenye hadhi
-ujenzi wa Balozi zetu mbalimbali ukianzia Kenya.

Hapa kwenye nyumba za balozi NSSF imesaidia sio tu kuokoa mamilioni ya dola ambayo serikali inalipa kama kodi bali pia NSSF wameiondolea serikali fedheha ya kukodi nyumba na kuadhiriwa na landlords kama watachelewa kulipa.

Contrary na alivyosema jamaa hapo juuu usidhani NSSF inafanya miradi hiyo hapo juu ili KUJIPENDEKEZA serikalini. La hasha! Miradi YOTE hiyo inaendeshwa kwa misingi ya kibiashara na NSSF inapata a much higher return than the alternative investment of the SAME tenure




-in 2001 wakati Dau anajiunga NSSF, Contribution zilikuwa 39 billion. Leo ni over 200 billion

-growth in Investments


-NSSF inatoa mafao 7 kati ya mafao 9 yaliyomo kwenye ILO Convention 102 ya 1952. NSSF TANZANIA inatoa mafao mengi zaidi kuliko taasisi YOYOTE ya pensheni kusini mwa Sahara INCLUDING South Africa. No wonder Kenya, Uganda, The Gambia, Sierra Leone etc WANAPIGANA VIKUMBO kuja kujifunza NSSF

-Staff Welfare: 2001 minimum wage 52,000. Now over its 400,000

Kwa kumalizia tuu ni kuwa wiki iliyopita kwenye SABA SABA (NSSF) ilikuwa second overall winners in all categories

sasa tabu ya nini ?

GT
Hayo mambo yote wanayofanya NSSF yanawasaidia vipi wanachama?
Unasema wanalipa vizuri lakini hukumbuki ufisadi anaoendelea kufanya huyo Dau and the big amount of money stolen by the current exchequer in the name of Mustafa Mkulo!!
Hujui vizuri ubaya wa NSSF kama Dau kakuchotea kidogo just keep quite!!
Nssf wametumia vibaya mno pesa za wanachama wake lakini yet unawasifu shame on you GT !! Ukiangalia jinsi walivyokopeshwa akina Manji na wengineo sitaji kuwataja na of course hawajalipa inachefua !! Why don't simply go and sleep kuliko kuandika utumbo nimeamua nikusute good morning.
 
GT
Hayo mambo yote wanayofanya NSSF yanawasaidia vipi wanachama?
Unasema wanalipa vizuri lakini hukumbuki ufisadi anaoendelea kufanya huyo Dau and the big amount of money stolen by the current exchequer in the name of Mustafa Mkulo!!


NIPE USHAHIDI
Hujui vizuri ubaya wa NSSF kama Dau kakuchotea kidogo just keep quite!!

oW REALLY?
Nssf wametumia vibaya mno pesa za wanachama wake lakini yet unawasifu shame on you GT !! Ukiangalia jinsi walivyokopeshwa akina Manji na wengineo sitaji kuwataja na of course hawajalipa inachefua !! Why don't simply go and sleep kuliko kuandika utumbo nimeamua nikusute good morning.

Lete supporting data then tutajua pa kuelekea

hapa issue zinakatwa kwa data si maneno matupu huna hoga ingia chimbo
 
GT
Hayo mambo yote wanayofanya NSSF yanawasaidia vipi wanachama?
Unasema wanalipa vizuri lakini hukumbuki ufisadi anaoendelea kufanya huyo Dau and the big amount of money stolen by the current exchequer in the name of Mustafa Mkulo!!
Hujui vizuri ubaya wa NSSF kama Dau kakuchotea kidogo just keep quite!!
Nssf wametumia vibaya mno pesa za wanachama wake lakini yet unawasifu shame on you GT !! Ukiangalia jinsi walivyokopeshwa akina Manji na wengineo sitaji kuwataja na of course hawajalipa inachefua !! Why don't simply go and sleep kuliko kuandika utumbo nimeamua nikusute good morning.

Mkuu,

mbona hoja zako hazina data ili kupata uzito?. Katika hili suala kubali kwamba GT ana hoja nzito na zenye data hakika. Usibishe sababu unaweza kubisha, bali bisha sababu una sababu za msingi za kubisha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom