chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Kuna wadada wanajituma jamani hadi raha!utafikiri anashida za kufa mtu..overtime job ikitokea ofcn yupo,mpaka sometimes namuuliza,why do u overwok urself?,anajibu thats the way Iam..ukikaa nae kusikiliza stor zake,zakawaida kabisa,unaweza sema may be ngoja nimpe vistor vya boys,may be ana workhard kumsahau mchumba ake labda kaachwa,hakuna...family yao mambo si haba wanajiweza...Hongeren wadada wa stlye hiyo..