LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Nampongeza aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Nahodha kwa maamuzi magumu aliyotoa kwa wezi wa madini yetu,wakenya wenye urai wa nchi mbili waliokuwa wanabebwa na na mzindakaya na mwanae.
Waziri Nahodha ametoa amri divis antony ngoo aondolewe haraka na baba yake Antony mraga ngoo achunguzwe kwa kina na achuliwe hatua kali.sasa hivi wakenya hao wako dar kujaribu kuwahonga viongozi wetu ambao sio waadifu ili wawapatie urai.
Huyo davisi kwanza alistaili kifungo kwanza amegushi cheti cha kuzaliwa pili paspoti ya tz tatu kusafirisha madini nje ya nchi kupeleka kenya. Tunao ushaidi kutoka kijiji anachosema amezaliwa mzee antony ngoo toloha kwamba hawamjui hata hapo kahe hawamjui hata mzee wa ukoo wa mwanyika ukoo antony ngoo anasema ni ukoo wake.
Watz tumechoka kuibiwa na wakenya. madereva wa utalii wa tanzania kenya hawaruhusiwi huku wanaingia hadi migodini.serikali ikawashindwa tutatumia nguvv ya umma. sourse mchimbaji mireran
Waziri Nahodha ametoa amri divis antony ngoo aondolewe haraka na baba yake Antony mraga ngoo achunguzwe kwa kina na achuliwe hatua kali.sasa hivi wakenya hao wako dar kujaribu kuwahonga viongozi wetu ambao sio waadifu ili wawapatie urai.
Huyo davisi kwanza alistaili kifungo kwanza amegushi cheti cha kuzaliwa pili paspoti ya tz tatu kusafirisha madini nje ya nchi kupeleka kenya. Tunao ushaidi kutoka kijiji anachosema amezaliwa mzee antony ngoo toloha kwamba hawamjui hata hapo kahe hawamjui hata mzee wa ukoo wa mwanyika ukoo antony ngoo anasema ni ukoo wake.
Watz tumechoka kuibiwa na wakenya. madereva wa utalii wa tanzania kenya hawaruhusiwi huku wanaingia hadi migodini.serikali ikawashindwa tutatumia nguvv ya umma. sourse mchimbaji mireran