Hongera waziri Nahodha kwa maamuzi magumu

LENGIO

JF-Expert Member
Apr 9, 2012
1,096
508
Nampongeza aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Nahodha kwa maamuzi magumu aliyotoa kwa wezi wa madini yetu,wakenya wenye urai wa nchi mbili waliokuwa wanabebwa na na mzindakaya na mwanae.

Waziri Nahodha ametoa amri divis antony ngoo aondolewe haraka na baba yake Antony mraga ngoo achunguzwe kwa kina na achuliwe hatua kali.sasa hivi wakenya hao wako dar kujaribu kuwahonga viongozi wetu ambao sio waadifu ili wawapatie urai.

Huyo davisi kwanza alistaili kifungo kwanza amegushi cheti cha kuzaliwa pili paspoti ya tz tatu kusafirisha madini nje ya nchi kupeleka kenya. Tunao ushaidi kutoka kijiji anachosema amezaliwa mzee antony ngoo toloha kwamba hawamjui hata hapo kahe hawamjui hata mzee wa ukoo wa mwanyika ukoo antony ngoo anasema ni ukoo wake.

Watz tumechoka kuibiwa na wakenya. madereva wa utalii wa tanzania kenya hawaruhusiwi huku wanaingia hadi migodini.serikali ikawashindwa tutatumia nguvv ya umma. sourse mchimbaji mireran
 
Uamuzi mgumu upi?
mbona unasema bado wako huru DSM wanafanya jitihada za kuhonga ili wapate uraia?
Halafu Ongeza juhudi kwenye lugha ya kutoa taarifa kwa kuandika.
Inabidi mtu aangalie mdomo wako unavokwenda ndo ajue unamaanisha nini!
 
Uamuzi mgumu upi?
mbona unasema bado wako huru DSM wanafanya jitihada za kuhonga ili wapate uraia?
Halafu Ongeza juhudi kwenye lugha ya kutoa taarifa kwa kuandika.
Inabidi mtu aangalie mdomo wako unavokwenda ndo ajue unamaanisha nini!


ha ha ha ha ha,Kaka reporting skillz ni tunu ambayo si kila mja kakabidhiwa!!
 
Mwacheni huyo ni mmasai kwanza kajitaidi sana.nimesoma kwenye mwananchi ya leo 7.5 2012 nimeona hiyo habari inaoneka hao wakenya wamewatesa sana maana naona kaandika kwa jaziba sana ndio maana.
 
unaelewa maana ya uamuzi mgumu?hilo alilolifanya ni wajibu wake wa kila siku
 
Nahodha (Captain)

Life is all about change and misery is an option

Kuwa nahodha lazima uwe tayari kukabiliana na mabadiliko na pia husuni ni chuguo.

ukiwa na sifa hiyo basi hushindwi mtu kutoa maamuzi magumu hata kama utapatwa na msukosuko.
 
Sijaona maamuzi magumu hapo, au kwa mtazamo wako ndio maamuzi magumu? Analipwa kwa kazi gani kama sio hiyo?
 
jifunze kiswahili! Huo sio uamuzi mgumu!

mkuu huo ndo uamuzi mgumu naunga mkono kwa sababu nani ndani ya magamba anaweza kufanya hayo??
Ndani ya magamba ni rushwa tuu imetawala! Huo ni ulaji mzuri tuu!
 
mkuu huo ndo uamuzi mgumu naunga mkono kwa sababu nani ndani ya magamba anaweza kufanya hayo??
Ndani ya magamba ni rushwa tuu imetawala! Huo ni ulaji mzuri tuu!

Mkuu huo ni uwajibikaji wa kiongozi mahali popote. si kila kitu ni maamuzi magumu.
Nilitegemea Nahodha angechukua maamuzi magumu wakati wa mauaji ya watu wasio na hatia Arusha na North Mara. cha ajabu hakuchukua maamuzi magumu, na wala hakuenda kwenye eneo la tukio.
Matokeo yake alitoa tamko akiwa ofisini kwake Dar.
Hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kuchukua maamuzi magumu ndani ya ccm zaidi ya Lowassa.
Wengine wote waliobaki hawana dhamira njema na nchi yetu.
 
Back
Top Bottom