Hongera wabunge kwa kuwa wamoja

rutebukasabas

Member
Apr 18, 2011
9
2
Inapendeza kuwaona wabunge wamekuwa pamoja kwa kupinga budget ya Nishati na madini. Hili ni swala la kitaifa zaidi kuliko chama. Hili ni fundisho kwa serikali kuwa haitaweza kuwafanya rubber stamp kwa uozo ulio wazi kwa kila mtu.

Wiki tatu walizopewa wasiishie kutoa mapendekezo tu ya Nishati,bali wachukue hatua pia kwenye mikataba mibovu ya madini isiyo na tija kwa wananchi.

Kumbe ina wezekana! Hongera Upinzani kwa kuwa INDUCE wa bunge wa CCM. Wakati wa wabunge wa CCM kuwa kamati ya chama na kuwa rubber stamp umekwisha. Haya ni mafanikio !!!!!!!!

 
Inapendeza kuwaona wabunge wamekuwa pamoja kwa kupinga budget ya Nishati na madini. Hili ni swala la kitaifa zaidi kuliko chama. Hili ni fundisho kwa serikali kuwa haitaweza kuwafanya rubber stamp kwa uozo ulio wazi kwa kila mtu.

Wiki tatu walizopewa wasiishie kutoa mapendekezo tu ya Nishati,bali wachukue hatua pia kwenye mikataba mibovu ya madini isiyo na tija kwa wananchi.

Kumbe ina wezekana! Hongera Upinzani kwa kuwa INDUCE wa bunge wa CCM. Wakati wa wabunge wa CCM kuwa kamati ya chama na kuwa rubber stamp umekwisha. Haya ni mafanikio !!!!!!!!


Nadhani si sahihi sana kusema kuwa walikuwa wamoja. Baada ya Waziri mkuu kuchomoa hoja ya Bajeti ya Wizara ya Nishati, niliwasikia baadhi ya wabunge wakishanglia CCM! CCM! na wengine wakisema People's power, sasa haya mambo ya vyama yanatoka wapi tunapozungumzia suala nyeti la kitaifa?

Ukweli ni kuwa Chadema wamejiona kama wapinzani wa serikali, na wabunge wa CCM wamestuka kuwa kama wataunga mkono hoja hiyo basi CDM wakienda kwa wananchi watawamaliza. Bado nadhani uzalendo wa kweli bado haujapatikana. Bado tuna safari ndefu sana kuwa pamoja na kuiwajibisha kabisa serikali hii lege lege.
 
Nadhani si sahihi sana kusema kuwa walikuwa wamoja. Baada ya Waziri mkuu kuchomoa hoja ya Bajeti ya Wizara ya Nishati, niliwasikia baadhi ya wabunge wakishanglia CCM! CCM! na wengine wakisema People's power, sasa haya mambo ya vyama yanatoka wapi tunapozungumzia suala nyeti la kitaifa?

Ukweli ni kuwa Chadema wamejiona kama wapinzani wa serikali, na wabunge wa CCM wamestuka kuwa kama wataunga mkono hoja hiyo basi CDM wakienda kwa wananchi watawamaliza. Bado nadhani uzalendo wa kweli bado haujapatikana. Bado tuna safari ndefu sana kuwa pamoja na kuiwajibisha kabisa serikali hii lege lege.

WAbunge kuwa kitu kimoja ni maamuzi ndani ya ukumbi wa Bunge na sio kuamua nje na Ukumbi wa Bunge. Huo ni unafiki.
 
Back
Top Bottom