rutebukasabas
Member
- Apr 18, 2011
- 9
- 2
Inapendeza kuwaona wabunge wamekuwa pamoja kwa kupinga budget ya Nishati na madini. Hili ni swala la kitaifa zaidi kuliko chama. Hili ni fundisho kwa serikali kuwa haitaweza kuwafanya rubber stamp kwa uozo ulio wazi kwa kila mtu.
Wiki tatu walizopewa wasiishie kutoa mapendekezo tu ya Nishati,bali wachukue hatua pia kwenye mikataba mibovu ya madini isiyo na tija kwa wananchi.
Kumbe ina wezekana! Hongera Upinzani kwa kuwa INDUCE wa bunge wa CCM. Wakati wa wabunge wa CCM kuwa kamati ya chama na kuwa rubber stamp umekwisha. Haya ni mafanikio !!!!!!!!
Wiki tatu walizopewa wasiishie kutoa mapendekezo tu ya Nishati,bali wachukue hatua pia kwenye mikataba mibovu ya madini isiyo na tija kwa wananchi.
Kumbe ina wezekana! Hongera Upinzani kwa kuwa INDUCE wa bunge wa CCM. Wakati wa wabunge wa CCM kuwa kamati ya chama na kuwa rubber stamp umekwisha. Haya ni mafanikio !!!!!!!!