Hongera tff

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,187
42,013
Nachukua nafasi hii kuwapongenza TFF kwa kuwachukuli hatua za kinidhamu wavunjifu wa amani kwenye mpira wa miguu. si wengine ni yanga ambao walionekana kuwa tyson dhidi ya refa ,hivyo basi wachezaji wapatao watano wa yanga awataonekana uwanjani mpaka msimu unaisha,pia yanga wamepigwa faini isiyopungua mil 4. nafikiiri hii ni funzo kwa wote maana watoto ujifunza kutoka kwa wakubwa. jamani ni dhamu ni chachu ya maendeleo.
 
Mchezaji ambae hatacheza msimu mzima ni Stephano Mwasika ambae amefungiwa mwaka mmoja. Nadir Haroub Cannavaro na Jery Tegete wamefungiwa mechi 6(watacheza mechi mbili za mwisho).Omega Seme na Nurdin Bakari wamefunghwa mechi tatu( watacheza mechi tano za mwisho) Klabu imepigwa faini ya milioni nne. Anyway siwasapoti wachezaji wa Yanga kwa utovu wa nidham walioufanya lakini haya maamuzi ya marefa wetu yanasababisha vurugu hizi zitokee. TFF na kamati ya waamuzi inabidi warekebishe mapema tatizo hili vinginevyo maafa kama ya Misri yanaweza kutokea hapa Bongo. Haileweki kuwa maamuzi haya ya utata ya Marefarii wetu yanasababishwa na kiwango duni cha Marefa au kuna manufaa binafsi wanayopata kutokana na maamuzi hayo ya utata. Unaweza kuwalaumu wachezaji wa Yanga kwa nidham mbaya walioionyesha lakini ukifuatilia malezi ya wachezaji wetu toka utotoni utagundua kitu. Namalizia kwa kusema kuwa kwa Maamuzi kama yale na malezi ya wachezaji wetu na watazamaji wengi wanaokuja uwanjani tunategesha bomu ambalo siku yoyote linaweza kulipuka. POLENI YANGA..
 
Wanajisahau na kufikiri wapo nje ya sheria..fine ni ndogo hiyo pia kama club ilitakiwa iwe fined kama walivyoadhibiwa Simba kwa makosa ya Simba fans
 
Back
Top Bottom