Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,013
Nachukua nafasi hii kuwapongenza TFF kwa kuwachukuli hatua za kinidhamu wavunjifu wa amani kwenye mpira wa miguu. si wengine ni yanga ambao walionekana kuwa tyson dhidi ya refa ,hivyo basi wachezaji wapatao watano wa yanga awataonekana uwanjani mpaka msimu unaisha,pia yanga wamepigwa faini isiyopungua mil 4. nafikiiri hii ni funzo kwa wote maana watoto ujifunza kutoka kwa wakubwa. jamani ni dhamu ni chachu ya maendeleo.