ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Tunapongeza kipindi hiki cha asubuhi kwani kimesheeni habari nzuri na motomoto lakini tatizo ni baadhi ya wageni mnaowaita hapo kweli wanatuharibia hata hamu ya kuendelea kutazama wanakuja na misimamo yao na kutoa amri tu. ilihali kwa mtazamo wangu mnawaita watoe maoni na namna ya kutatua au kusuruhisha baadhi ya mambo na pengine kutoa maelezo fulani . Lakini kuna baadhi ya watu wao ni kutoa amri kuwataka watu au viongozi kuchukua hatua sasa sijui wao nao ni viongozi au Star tv mnawaita ili wawasemee viongozi wetu. Nawasilisha.