Hongera South Sudan!

Hivi na sisi tupo Sudan Kusini au?, Sisi Nchi yetu ni Tanzania hivyo ni Busara kuwaachia wenyewe wafanye maamuzi yao wenyewe.
Muda si mrefu South Sudan itakaa kuamua jina jipya la nchi yao.Jee unapendekeza jina gani?.Mji mkuu uwe Juba au wapi?.Lugha ya taifa iwe kiarabu au Kiswahili
 
Hivi na sisi tupo Sudan Kusini au?, Sisi Nchi yetu ni Tanzania hivyo ni Busara kuwaachia wenyewe wafanye maamuzi yao wenyewe.
TUnachangia tu kwa kujifurahisha. Hivi unadhani hakuna watu wa south soudan huku? Na wenyewe ni wa East African Community
 
Waiite Tarime kumbe John Garang ni mtarime sasa ili kumuenzi paitwe TARIME
 
Muda si mrefu South Sudan itakaa kuamua jina jipya la nchi yao.
Jee unapendekeza jina gani?.Mji mkuu uwe Juba au wapi?.Lugha ya taifa iwe kiarabu au Kiswahili

Kiswahili. Lakini Ami samahani naomba nikukumbushe mjadala wa mwaka jana ulibisha sana kuwa wasudan kusini hawatajitenga. ukasema matatizo ya sudan kusini yamekuzwa na magharibi. Nadhani sasa umeelewa kuwa waafrika wa sudani walikuwa wanateswa sana. Nadhani sasa umeona tofauti kati ya waarabu wa sudan na waafrika wa sudan. maana ulikuwa unasema sudan wote ni weusi.
 
Kiswahili. Lakini Ami samahani naomba nikukumbushe mjadala wa mwaka jana ulibisha sana kuwa wasudan kusini hawatajitenga. ukasema matatizo ya sudan kusini yamekuzwa na magharibi. Nadhani sasa umeelewa kuwa waafrika wa sudani walikuwa wanateswa sana. Nadhani sasa umeona tofauti kati ya waarabu wa sudan na waafrika wa sudan. maana ulikuwa unasema sudan wote ni weusi.
Nafurahi una kumbukumbu nzuri,lakini hii hoja naona haina mzozo na ile tuliyoiita Njama za kuimega Sudan.
Mimi kama raisi Albashir hatukupenda hili la kugawanyika Sudan litokee.Tunajuwa kuwa sababu zote zilizotajwa ni za kutiwa chumvi na mashinikizo ya mabeberu.Sasa kweli yametimia.Tuangalie jee itakuwa ndio mwisho wa matatizo ya wasudani?;wote wa kaskazini na kusini.
 
Ibakie ivyo ivyo South Sudan na mji mkuu uwe Juba. Airport iitwe Joh Garang International Airport (Sijui kama ni international ama bado)
 
[h=1][/h]Written by amini // 14/07/2011 // Habari // 7 Comments

South Sudan yatowa pesa yake wenyewibar e, Zanzibar wasema tulinde na tudumishe Muungano wa Tanganyika na Zanzanzibar wakati Tanganyika imeingia kizani.

Samuel Sitta kuna msemo wa Kiengereza unasema samani ya kuwa huru nipora kuliko Pande la Zahabu au Almasi( To be freedom is better then gold or daimon).
Kwa hio kama mutaendelea kututawala na kukataa mfumo wa Serekali tatu basi mimi nahisi Katiba itakuwa haina maana nikuja kujingiza ktk kitanzi cha kunyongwa Zanzibar wenyewe.
Chaumuhimu kwa sasa ilikuwa Tanganyika ifanye mchakato wa kurudicha Tanganyika yake na katiba yake kulikoni kwenda mbele na kuacha umuhimu wa nyuma.
Mimi huwachangaa Viongozi wa SMZ kusema tusubiri Katiba na mamuzi ya Bunge 2014 kuelekea uchaguzi mkuu?.
Lakini kwa upande wa Zanzibar jee itatusaidia nini katiba ya Muungano wa Tanzania wakati Tanganyika haipo kiimla ni Tanzania?.
Hii nikupigwa changa la macho Wzanzibar na kuburuzwa kwa kuto tumia akili hakuna asie juwa kuwa Tanzania ndio Tanganyika kwa kila kitu na mambo yote yako wazi kujuwa , kuanzia katiba,Nembo ya nchi ya Taifa,Bendera, hata mambo ya njee hujiwakilicha tu kwa jina la Tanzania kuomba misada lakini ikifika nchini hutumika kwa mahitajio ya Tanganyika.
Mimi nasema Wabunge,Wawakilishi na Wzanzibar wote kwa ujumla nilazima tuwakamate Koni Wtanganyika kunda mfumo wa Serekali tatu kama mwanza yani Tanganyika,Zanzibar na yashirikicho yani ya Muungano? wakilataa hivyo basi hakuna maana kujadili katiba, maana mundo wa katiba hii ni waserekali moja yani Repblic of Tanzania/Tanganyika.
Jee Wzanzibar(SMZ) munakubali tuwe na mfumo huu wa serekali 1, yani Serekali ya Watu wa Tanzania kumbe ni Wtanganyika wanatufoolish na huku yao yanawaendea halafu wasema hawataki Tanganyika kurudi? wanajuwa kuwa Tanganyika ndio hii Tanzania ya sasa.
Sasa irudi Tanganyika vipi wakati ndio hii? na misada yote na mambo yaso yote hutumika kwa mwevuli wa Tanzania.
 
jamanii hawa wazanzibar wana tusaidia niniiiihiiiiiiiiiiiiiiiiii wavunje tuhuuu muunganooooo
 
[h=1][/h]Written by amini // 14/07/2011 // Habari // 7 Comments

South Sudan yatowa pesa yake wenyewibar e, Zanzibar wasema tulinde na tudumishe Muungano wa Tanganyika na Zanzanzibar wakati Tanganyika imeingia kizani.

Samuel Sitta kuna msemo wa Kiengereza unasema samani ya kuwa huru nipora kuliko Pande la Zahabu au Almasi( To be freedom is better then gold or daimon).
Kwa hio kama mutaendelea kututawala na kukataa mfumo wa Serekali tatu basi mimi nahisi Katiba itakuwa haina maana nikuja kujingiza ktk kitanzi cha kunyongwa Zanzibar wenyewe.
Chaumuhimu kwa sasa ilikuwa Tanganyika ifanye mchakato wa kurudicha Tanganyika yake na katiba yake kulikoni kwenda mbele na kuacha umuhimu wa nyuma.
Mimi huwachangaa Viongozi wa SMZ kusema tusubiri Katiba na mamuzi ya Bunge 2014 kuelekea uchaguzi mkuu?.
Lakini kwa upande wa Zanzibar jee itatusaidia nini katiba ya Muungano wa Tanzania wakati Tanganyika haipo kiimla ni Tanzania?.
Hii nikupigwa changa la macho Wzanzibar na kuburuzwa kwa kuto tumia akili hakuna asie juwa kuwa Tanzania ndio Tanganyika kwa kila kitu na mambo yote yako wazi kujuwa , kuanzia katiba,Nembo ya nchi ya Taifa,Bendera, hata mambo ya njee hujiwakilicha tu kwa jina la Tanzania kuomba misada lakini ikifika nchini hutumika kwa mahitajio ya Tanganyika.
Mimi nasema Wabunge,Wawakilishi na Wzanzibar wote kwa ujumla nilazima tuwakamate Koni Wtanganyika kunda mfumo wa Serekali tatu kama mwanza yani Tanganyika,Zanzibar na yashirikicho yani ya Muungano? wakilataa hivyo basi hakuna maana kujadili katiba, maana mundo wa katiba hii ni waserekali moja yani Repblic of Tanzania/Tanganyika.
Jee Wzanzibar(SMZ) munakubali tuwe na mfumo huu wa serekali 1, yani Serekali ya Watu wa Tanzania kumbe ni Wtanganyika wanatufoolish na huku yao yanawaendea halafu wasema hawataki Tanganyika kurudi? wanajuwa kuwa Tanganyika ndio hii Tanzania ya sasa.
Sasa irudi Tanganyika vipi wakati ndio hii? na misada yote na mambo yaso yote hutumika kwa mwevuli wa Tanzania.
Mkuu ukiwa unaandika usiwe na haraka yaani kaa chini fikiria na uandike,au Kiswahili ndo kinapita pembeni kwenye kukiandika.
 
Huyu aliebandika hii thread inaelekea alikimbilia umangani wakati ule wa HIZBU, ndio maana hata kswahili chake kishaanza kupotea!.
 
i guess one AFRICA will be A dream,american gov has done it again ZANZIBAR wakitaka kujitenga muwape sapport hivi hivi munavowapo south sudan.
 
S.Sudan , karibuni kwenye umasikini .njaa nk.

naamini kuwa haya ndio hatima yenu kwani watu wapo na watachukua kila kilicho chenu na kukuacheni bila ya kitu, sasa hayupo yule wa kumlaumu, mmeanza na mguu mbaya........wamagharibi weshaingia mpaka jikoni katika nchi yetu kabala hata ya uhuru , hii itakuwa ni kama Nigeria , Ginea ya ikweta ama nchi nyengine za kiafarika ambazo zina mafuta na hazina uchumi mzuri....

maana upotevu wa mamilioni ya pesa na rushwa vishaanza kukutambaeni........

karibuni .............tuwe pamoja katika shida zetu na mashaka ya viongozi wa nchi zetu.
 
Back
Top Bottom