Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Huge percentage of Southners follow traditional african beliefs and are not christians.At last, Christians are free in Sudan
kula nini hapo s.sudan??Sasa tukae mkao wa kula
Most probably TANGANYIKA.hiyo ndiyo ishapita hivyo na si ajabu tena kupata mwanachama mpya wa UN, AU nk, ...the quiz is who will be next???
Ha ha ha haaaaa....!!!!! I like it!Most probably TANGANYIKA.
Sudan Kusini kuanza kutumia sarafu mpya hivi karibuni |
Serikali ya Sudan Kusini imesema itaanza kutumia sarafu yake mpya katika kipindi cha miezi mitatu ijayo. Elijah Malok, Gavana wa Benki Kuu ya nchi hiyo mpya amesema kuwa, sarafu ya nchi hiyo itakuwa pauni yenye picha ya John Garang, kiongozi wa harakati za kupigania uhuru wa Sudan Kusini. http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&view=article&id=18717:hivi&catid=1:latest&Itemid=74 |
iitwe John Garang