Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
Mbunge wa Kigoma Mjini Peter Serukamba alitetea vyema hoja yake mwishoni mwa mwezi Novemba na ametunukiwa shahada yake ya Uzamili katika Utawala wa Biashara (MBA). Hongera..! Tunakusubiri kwenye Uzamivu! (picha namichuzi)