Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 3,951
- 4,264
binafsi nimefarijika sana na maamuzi ya hawa mabwana wakubwa, katika hili la kuto kutoa mikopo katika kozi za ICT (Computer science, IT, INFORMATION SYSTEMS, etc.)
sasa naamini tutapata wataalam mahiri na makini, na si wababaishaji kama ambavyo imezoeleka. yaani, wasomaji wa hizo kozi kwa sasa, watakuwa ni wale tu wenye nia ya dhati hasa, BRAVO magamba
sasa naamini tutapata wataalam mahiri na makini, na si wababaishaji kama ambavyo imezoeleka. yaani, wasomaji wa hizo kozi kwa sasa, watakuwa ni wale tu wenye nia ya dhati hasa, BRAVO magamba