Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Waandishi mara nyingi wamekua ving'ang'anizi na maswali uchwara kwa lengo la kusimamia upande fulani wenye maslahi na serikari.
Kimsingi bunge ni kwa ajili ya kutatua matatizo makuu ya wananchi, si kujadili muda na taratibu za kazi.
Kimsingi mambo yasiyo na takwimu hayapaswi kuongelewa na viongozi wakuu wa nchi kama mawaziri ,wabunge hata madiwani.
Kila mtu awajibike kulingana na kazi na majukumu yake.
Waandishi wawe na takwimu badala ya kupotosha watu.
Kimsingi bunge ni kwa ajili ya kutatua matatizo makuu ya wananchi, si kujadili muda na taratibu za kazi.
Kimsingi mambo yasiyo na takwimu hayapaswi kuongelewa na viongozi wakuu wa nchi kama mawaziri ,wabunge hata madiwani.
Kila mtu awajibike kulingana na kazi na majukumu yake.
Waandishi wawe na takwimu badala ya kupotosha watu.