hongera Raisi KIKWETE.

Remmy

JF-Expert Member
Jun 9, 2009
4,701
1,797
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact hata in short run kwani wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne si sawa kamwe na wasio enda sekondari , hata kama wakiondoka na little material, vilevile inapunguza vijana wetu kuoa au kuolewa mapema na ujambazi, uvutaji bangi kwani wakitoka huko wanakuwa civilized. afya, huu mpango wa kuwa na dispensary kila kijiji ni bomba sana, pia maradhi, vifo vya watoto na kina mama vimepungua na mengine mengi. big up wacha waseme kwani wanataka wao huo uraisi na kwa kawaida its human nature kumwona mwenzake anachemsha kwani ye jicho lake atalionaje?
 
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact hata in short run kwani wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne si sawa kamwe na wasio enda sekondari , hata kama wakiondoka na little material, vilevile inapunguza vijana wetu kuoa au kuolewa mapema na ujambazi, uvutaji bangi kwani wakitoka huko wanakuwa civilized. afya, huu mpango wa kuwa na dispensary kila kijiji ni bomba sana, pia maradhi, vifo vya watoto na kina mama vimepungua na mengine mengi. big up wacha waseme kwani wanataka wao huo uraisi na kwa kawaida its human nature kumwona mwenzake anachemsha kwani ye jicho lake atalionaje?
eeh!haya bwana mkubwa,

naona unalazimisha KUJIPENDEKEZA
 
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact hata in short run kwani wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne si sawa kamwe na wasio enda sekondari , hata kama wakiondoka na little material, vilevile inapunguza vijana wetu kuoa au kuolewa mapema na ujambazi, uvutaji bangi kwani wakitoka huko wanakuwa civilized. afya, huu mpango wa kuwa na dispensary kila kijiji ni bomba sana, pia maradhi, vifo vya watoto na kina mama vimepungua na mengine mengi. big up wacha waseme kwani wanataka wao huo uraisi na kwa kawaida its human nature kumwona mwenzake anachemsha kwani ye jicho lake atalionaje?

remmy
Hongera huku ni kujipendekeza kwa kumalizia mwaka!! tell me you don't mean all these nonsense. Ikiwa hivyo inabidi umpengeze makamba, lowasa, rostam, karamagi hata chenge ukiweza!!! maana ndiyo think tanks wa jk
 
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact hata in short run kwani wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne si sawa kamwe na wasio enda sekondari , hata kama wakiondoka na little material, vilevile inapunguza vijana wetu kuoa au kuolewa mapema na ujambazi, uvutaji bangi kwani wakitoka huko wanakuwa civilized. afya, huu mpango wa kuwa na dispensary kila kijiji ni bomba sana, pia maradhi, vifo vya watoto na kina mama vimepungua na mengine mengi. big up wacha waseme kwani wanataka wao huo uraisi na kwa kawaida its human nature kumwona mwenzake anachemsha kwani ye jicho lake atalionaje?



Serikali sasa ina uwezo wa kifedha mkubwa kuliko wakati wowote ule hivyo rais anaweza kutoba mamilioni ili kuwawezesha raia wake.

Serikali sasa ina uwezo wa kifedha mkubwa kuliko wakati wowote ule hivyo rais anaweza kusafiri nje ya nchi na kupata mapesa mengine bure ya misaada ili awajaze mapesa wananchi wake. Lakini watu wanapiga kelele kwa vile hawajui uhuhimu wa safari za kiongozi.
 
Hapa tuna cheerleader tu,

Unaweza kuonyesha kwa figures serikali ina uwezo kupita muda wowote? In proportionate terms, siyo tu kuongezeka kwa mapato ambako ni natural katika nchi yenye population inayokua.

Hii siku ilitakiwa iwe siku ya mourning kukumbuka siku nchi ilivyoendelea kutumbukia katika hii botomless abyss.
 
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact hata in short run kwani wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne si sawa kamwe na wasio enda sekondari , hata kama wakiondoka na little material, vilevile inapunguza vijana wetu kuoa au kuolewa mapema na ujambazi, uvutaji bangi kwani wakitoka huko wanakuwa civilized. afya, huu mpango wa kuwa na dispensary kila kijiji ni bomba sana, pia maradhi, vifo vya watoto na kina mama vimepungua na mengine mengi. big up wacha waseme kwani wanataka wao huo uraisi na kwa kawaida its human nature kumwona mwenzake anachemsha kwani ye jicho lake atalionaje?

We have long way to go if things are like this.....
 
Hakuna lolote la maana alilofanya kikwete zaidi ya kutumia hela aliyokusanya mwenzie mkapa. Sasa hivi kila mtanzania mwenye akili timamu anafahamu kwamba nchi inaendeshwa kisanii. Kumsifia kikwete ni kujipendekeza tu.
 
Serikali sasa ina uwezo wa kifedha mkubwa kuliko wakati wowote ule hivyo rais anaweza kutoba mamilioni ili kuwawezesha raia wake.

Serikali sasa ina uwezo wa kifedha mkubwa kuliko wakati wowote ule hivyo rais anaweza kusafiri nje ya nchi na kupata mapesa mengine bure ya misaada ili awajaze mapesa wananchi wake. Lakini watu wanapiga kelele kwa vile hawajui uhuhimu wa safari za kiongozi.

Hivi na Jamaica pia ni Wawekezaji hapa Bongo.???
 
pakajimmy, mi naongea kitu fact, utake usitake. lakini kama kuna hyo kitu mbona shega nimpe shavu kwenye kujenga nchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom