Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,797
leo umetimiza miaka minne tangu kuapishwa kwako, kazi zako zinaonekana, sekta zote, elimu, shule za yeboyebo zinatia moyo hata kama wanapiga kelele lakini mi najua in long run ina positive impact hata in short run kwani wanafunzi wanaomaliza kidato cha nne si sawa kamwe na wasio enda sekondari , hata kama wakiondoka na little material, vilevile inapunguza vijana wetu kuoa au kuolewa mapema na ujambazi, uvutaji bangi kwani wakitoka huko wanakuwa civilized. afya, huu mpango wa kuwa na dispensary kila kijiji ni bomba sana, pia maradhi, vifo vya watoto na kina mama vimepungua na mengine mengi. big up wacha waseme kwani wanataka wao huo uraisi na kwa kawaida its human nature kumwona mwenzake anachemsha kwani ye jicho lake atalionaje?