Hongera NORA kwa kuolewa tena

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
NORA.JPG
YES.JPG


Hivi karibuni msanii NORA ameolewa kwa mara ya pili baada ya mumewe wa awali kufariki dunia yule mganga wa kienyeji... Hongera sana dada NORA
 
Duh imenikumbusha mbali.......! Hongera sana...........walimchafua kishenzi lakini hatimaye pimbi katokea kumliwaza kiukweli!
 
Mmmmmmh najua jamaa kamvuta ili apate wa kumpikia FUTARI si unajua mfungo wa Ramadhan unaanza next week jnne hivi so hata Nora itamsaidia maana wahanga walikua wengi sanaaaa!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom