Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Hivi karibuni msanii NORA ameolewa kwa mara ya pili baada ya mumewe wa awali kufariki dunia yule mganga wa kienyeji... Hongera sana dada NORA
Wala hajakasirika, inaonekana ana mawazo!Mbona amekasirika hivyo? alilazimishwa nini??
Duh imenikumbusha mbali.......! Hongera sana...........walimchafua kishenzi lakini hatimaye pimbi katokea kumliwaza kiukweli!
Hahaha kwa nini umemwitta pimbi?:lol: au ni yule Dk Love pimbi