Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Nitoe pongezi kubwa sana kwa spika wa bunge mh Ndugai kuandaa mechi ya wabunge wapenzi wa Yanga na Simba kwani tumeshuhudia wabunge wa chama tawala na wa upinzani wakipeana mikono kwa raha na bashasha kubwa hivyo kupunguza chuki zilizokuwa zimejijenga.