Baba Collin
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 456
- 58
mnyika kama vp tuwekee humu ushahdi tudadavue
Na yule Stella Manyanya aliyesema Chadema ndio waliomtesa Ulimboka aliambiwa alete ushahidi kuthibisha madai yake? hili ni Double stastard Bunge.Kamsamehe wapi wakati ametoka kuomba mwongozo muda c mrefu?? na Naibu Spika kasema swala hilo analipeleka katika Kamati ya Maadili.
Namkubali sana Mnyika lakini Kwa hili tukubali kuwa Mnyika alichemka kumtuhumu Nchemba personally labda kama ulimi uliteleza kuwa alilenga kukituhumu chama (ccm).
Viongozi wetu wawe makini ktk kauli zao!!
Hebu fafanueni vizuri hii kauli ya Nchemba, maana mimi naangalia bunge sijui hii habari mmeipata saa ngapi!!
Job kapeleka hilo swala kwenye kamati ya maadili ya bunge.
Duh! Aisee CDM hamna jema! Jamaa kawasamehe bado mnamuona f.la. Nyie watu wa ajabu sana.
Mheshimiwa Mwigulu Mchemba umeonyesha ukomavu wa kisiasa kwa kuamua kutoa msamaha kwa Mheshimiwa Mnyika kutoka na kauli yake aliyoitoa Bungeni. Hilo ni jambo jema kwani unatimiza sera madhubuti za CCM zinazohimiza kusamehemeana miongoni mwa wananachi pasipo kujali itikadi za siasa wala dini.
Hivi na wewe unajifanyaga kujuwa kwingi kumbe bichwa maji unafuata mkumbo tu, ni wapi Mwigulu Nchemba alipomsamehe Mnyika? swala la Mnyika limepelekwa kamati ya maadili ya Bunge na Mnyika ataitwa huko kwenye kamati hiyo pimbi wewe.Mie nimewaambia zamani huyu kijana Mnyika ana matatizo ya kichwa, anaropoka hivyo bila ushahidi wala busara.
Big Up Mwigulu kwa kukasamehe, kakikua kataacha!
SCHIZOPHRENIA = "Mental disorder in which a person becomes unable to act or think in a rational way, often with delusions and withdrawal from social relationships"
Red: Sikuwa nalifahamu hili! ndo umenihabarisha leo.Hivi na wewe unajifanyaga kujuwa kwingi kumbe bichwa maji unafuata mkumbo tu, ni wapi Mwigulu Nchemba alipomsamehe Mnyika? swala la Mnyika limepelekwa kamati ya maadili ya Bunge na Mnyika ataitwa huko kwenye kamati hiyo pimbi wewe.
mwizi akiachiwa mahakamani na hakimu kwa kukosa ushahidi atamsamehe vipi hakimu? Hii mupya kabisa
Mpeni haki yake kwa kumpa BIG UP Mheshimiwa Mchemba kaonyesha uungwana uliotukuka. Mnyika hakuwa na ushahidi hivyo angeishia pabaya kwa vile alikurupuka. Nyie wana CDM muweke ushabiki pembeni na kukiri Mnyika aliteleza kwa kutoa kauli ambayo haikuwa na uhalisia