Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mjukuu wangu wa kwanza, Mjukuu Mtiifu salamu.
Mimi babu yako, kwaniaba ya wanajamvi, wapwa na wajukuu wenzako wote nimekuja hapa hadharani kukupongeza kwa dhati na upendo mkuu kabisa.
Miaka zaidi ya 30 iliyopita, nakumbuka mama yako aliniandikia barua akanisihi nikamtembelee kwa kuwa anataka kunipa zawadi maalum. Sikupoteza muda, nilipanda lori na kwa muda wa siku tatu nikafika. Nakumbuka ilikuwa tarehe kama ya leo, nikamkuta ametoka kujifungua katoto ka kike kazuri kama malaika, keupe kama mwarabu, kana tabasamu kama Cleopatra.
Akanambia baba, zawadi nliyokuitia ndio hii: Akanikabidhi nikakubeba nikamwambia: Nakusihi huyu binti umwite Mwanajamii kwa kuwa atakuwa mtu muhimu katika jamii. Tena ili watu wasimchakachue, Mwite MwanajamiiOne!...........Mama yako alivyo mtii kama wewe hakupinga.
Ona jinsi maneno yanavyoumba. Hebu angalia ulivyo muhimu katika jamii. Mpole, Mnyenyekevu, Mtiifu,Mwenye upendo wa aina yake, Unayejali, Mkweli, Mshauri mzuri na mengine mengi lukuki. Wanajamvi ni mashahidi wangu kiasi kwamba usipoonekana hapa jamvini wanafungua thread za kuuliza ulipopotelea.
Mungu akujalie maisha marefu zaidi ili jamii iendelee kunufaika kwa uwepo wako.
:hug::hug::hug:HAPPY BIRTHDAY MwanajamiiOne!:hug::hug:
Heri ninakutakia, Mwanajamii Sikia,
Mungu atakujalia, Heri na baraka pia,
Uishi katika dunia, Watu wakifurahia,
Hongera zangu pokea, Hongera zetu pokea.
Endelea kung'ang'ana, Mazuri kuzingatia,
Usiku hata mchana, Mabaya kuyakimbia,
Yote mema yatafana, Dua ninakuombea,
Mungu na Akubariki, Ishi maisha marefu.
:drum:ray2::bange::violin::llama:eace::grouphug::horn::cheer2::hippie::A S-heart-2::lalala:
Na Babu Asprin A.k.a Big Braza ODM
Kaunta ya Juu King Staa Bar
Boko Basihaya.
CopyRight Reserved.
Wanaotaka kuserebuka na sisi katika siku hii spesho ya mjukuu waniPM kwa maelekezo zaidi.
Mimi babu yako, kwaniaba ya wanajamvi, wapwa na wajukuu wenzako wote nimekuja hapa hadharani kukupongeza kwa dhati na upendo mkuu kabisa.
Miaka zaidi ya 30 iliyopita, nakumbuka mama yako aliniandikia barua akanisihi nikamtembelee kwa kuwa anataka kunipa zawadi maalum. Sikupoteza muda, nilipanda lori na kwa muda wa siku tatu nikafika. Nakumbuka ilikuwa tarehe kama ya leo, nikamkuta ametoka kujifungua katoto ka kike kazuri kama malaika, keupe kama mwarabu, kana tabasamu kama Cleopatra.
Akanambia baba, zawadi nliyokuitia ndio hii: Akanikabidhi nikakubeba nikamwambia: Nakusihi huyu binti umwite Mwanajamii kwa kuwa atakuwa mtu muhimu katika jamii. Tena ili watu wasimchakachue, Mwite MwanajamiiOne!...........Mama yako alivyo mtii kama wewe hakupinga.
Ona jinsi maneno yanavyoumba. Hebu angalia ulivyo muhimu katika jamii. Mpole, Mnyenyekevu, Mtiifu,Mwenye upendo wa aina yake, Unayejali, Mkweli, Mshauri mzuri na mengine mengi lukuki. Wanajamvi ni mashahidi wangu kiasi kwamba usipoonekana hapa jamvini wanafungua thread za kuuliza ulipopotelea.
Mungu akujalie maisha marefu zaidi ili jamii iendelee kunufaika kwa uwepo wako.
:hug::hug::hug:HAPPY BIRTHDAY MwanajamiiOne!:hug::hug:
Heri ninakutakia, Mwanajamii Sikia,
Mungu atakujalia, Heri na baraka pia,
Uishi katika dunia, Watu wakifurahia,
Hongera zangu pokea, Hongera zetu pokea.
Endelea kung'ang'ana, Mazuri kuzingatia,
Usiku hata mchana, Mabaya kuyakimbia,
Yote mema yatafana, Dua ninakuombea,
Mungu na Akubariki, Ishi maisha marefu.
:drum:ray2::bange::violin::llama:eace::grouphug::horn::cheer2::hippie::A S-heart-2::lalala:
Na Babu Asprin A.k.a Big Braza ODM
Kaunta ya Juu King Staa Bar
Boko Basihaya.
CopyRight Reserved.
Wanaotaka kuserebuka na sisi katika siku hii spesho ya mjukuu waniPM kwa maelekezo zaidi.