goodluck tesha
Member
- Mar 1, 2012
- 29
- 10
Pendekezo la LISU kuwa kuna haja ya kumchukulia waziri Mkuu hatua na hatimaye likaafikiwa na ZITO kwenye Majumuisho ni zuri linapaswa liungwe mkono na WABUNGE wote wenye MAPENZI mema na NCHI hii bila kutanguliza maslahi ya vyama vyetu.
Najua WAZIRI MKUU SI FISADI ila WASAIDIZI WAKE Lakini kitendo cha yeye kutowawajibisha hakikubaliki hivyo MAWAZIRI WALE WABOVU Waachie ngazi au yeye WAZIRI MKUU abebe dhamana hiyo.
TUMECHOKA KUSIKIA, KUSOMA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUHUSU WIZI NA UFISADI SERIKALINI.Viongozi kumbukeni ninyi tumewachagua tukawapa dhamana ya kutuongoza tuongozeni vizuri mkishindwa turudishieni NCHI yetu.
TAMBUENI NINYI NI WATUMISHI WETU NA SISI NI MABOSS MLIKUJA KUOMBA KURA SASA MNAFANYA NINI?Kuondoka kwa NYERERE NA SOKOINE ndo NCHI imekuwa haina mwenyewe?!!!
Najua WAZIRI MKUU SI FISADI ila WASAIDIZI WAKE Lakini kitendo cha yeye kutowawajibisha hakikubaliki hivyo MAWAZIRI WALE WABOVU Waachie ngazi au yeye WAZIRI MKUU abebe dhamana hiyo.
TUMECHOKA KUSIKIA, KUSOMA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUHUSU WIZI NA UFISADI SERIKALINI.Viongozi kumbukeni ninyi tumewachagua tukawapa dhamana ya kutuongoza tuongozeni vizuri mkishindwa turudishieni NCHI yetu.
TAMBUENI NINYI NI WATUMISHI WETU NA SISI NI MABOSS MLIKUJA KUOMBA KURA SASA MNAFANYA NINI?Kuondoka kwa NYERERE NA SOKOINE ndo NCHI imekuwa haina mwenyewe?!!!