Kwa mimi sikioni ana chofanya mnyika jimboni kwake hivi alichaguliwa ili amshambulie raisi au awaletee maendeleo wana ubungo kama mna mpenda mwambieni atekeleze aliyo ahidi sio kumsifia au mnataka kumpiga mizinga.
mnyika hakuwahi kuongea tu kipya uhusu udhaifu wa kiongozi alichosema mnyika wakati ule haikuwa maoni yake (opinion) ule ulikuwa ni ukweli (fact),na unajua ukweli unapaswa kujulikana na watu wote na usipojulikana kwa wote basa ni kwa sababu tu watu wengine ni wazembe wa kusoma hali ya mambo kama sio hivyo, watu hao ni sehemu ya tatizo ndio wale waliompinga mheshimiwa sana mnyika
Nani aliyekuambia hafanyi mambo jimboni kwake? Acha kumchafua mtu,Mh Mnyika aliongea ukweli! Kama nchi imewashinda iacheni,wanaojua wataongoza
Kwa mimi sikioni ana chofanya mnyika jimboni kwake hivi alichaguliwa ili amshambulie raisi au awaletee maendeleo wana ubungo kama mna mpenda mwambieni atekeleze aliyo ahidi sio kumsifia au mnataka kumpiga mizinga.
wapo walio sema amewatusi, wapo waliompongeza, wapo waliomwona kiburi, pia tupo ambao hatuku mwelewa ila sasa ndio tunaona nini alikuwa ana maanisha. I appreeciate Mnyika
Nani aliyekuambia hafanyi mambo jimboni kwake? Acha kumchafua mtu,Mh Mnyika aliongea ukweli! Kama nchi imewashinda iacheni,wanaojua wataongoza
Kumkosoa Rais ni moja kati ya majukumu yake, kwani tukisema serikali si pamoja na rais?Kwa mimi sikioni ana chofanya mnyika jimboni kwake hivi alichaguliwa ili amshambulie raisi au awaletee maendeleo wana ubungo kama mna mpenda mwambieni atekeleze aliyo ahidi sio kumsifia au mnataka kumpiga mizinga.
Usiwe mshamba, maendeleo yanaletwa kukiwa na aman, km hakuna aman huwez leta maendeleo. Alichosema mnyika kilikuwa cha kweli. Sema tu we gamba mvivu wa kufikiria. Udhaifu alio usemea kila mtu leo anakir kwel kuwa president ana problem.
Kwa mimi sikioni ana chofanya mnyika jimboni kwake hivi alichaguliwa ili amshambulie raisi au awaletee maendeleo wana ubungo kama mna mpenda mwambieni atekeleze aliyo ahidi sio kumsifia au mnataka kumpiga mizinga.