Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Mh Mnyika alisema:Mimi nasikitishwa na jambo moja, tumefika hapa kutokana udhaifu wa Rais Kikwete, uzembe wa bunge na wabunge na tumefika hapa kutokana na upuuzi wa CCM, nasema hivi nina ushahidi. Bravo Mnyika,leo nimekuelewa!
Mnyika: Tumefika hapa tulipo kwa Udhaifu wa Rais Kikwete - YouTube
Mnyika: Tumefika hapa tulipo kwa Udhaifu wa Rais Kikwete - YouTube