Hongera MH.Mudhihiri M.Mudhihiri

[COLOR="Red" said:
Rwabugiri;262558]Jamani tusipokuwa makini ya jirani zetu KUYU Vs LUO yanatunyemelea[/COLOR]!

Suala sio la ukabila.
Issue ni kuwa viongozi wa mambo ya ufugaji wawe na asili ya ufugaji. Viongozi wa uvuvi watoke kwenye jamii zenye asili ya kuvua.
Hii itasaidia viongozi hao kutodanganywa na wataalamu waliojaa theories.

Kama utaipitia hotuba ya Mudhihiri, Mnyaa na wengine - hoja ilikuwa ni Waraka uliotolewa na Wizara kujaa vipengere vya kukataza uvuvi huu na ule, sehemu za kufanyia uvuvi usiku na hata vifaa vya uvuvi. Kwa madai ya wabunge hao, kataza kataza hio itawaathiri wavuvi wadogo wadogo ambao kipato chao kinategemea moja kwa moja uvuvi huo kwa miaka kadha wa kadha.
 
hata mimi bado sijaona mahali anapostahili pongezi kwa kweli. labda utusaidie
 
Suala sio la ukabila.
Issue ni kuwa viongozi wa mambo ya ufugaji wawe na asili ya ufugaji. Viongozi wa uvuvi watoke kwenye jamii zenye asili ya kuvua.
Hii itasaidia viongozi hao kutodanganywa na wataalamu waliojaa theories.

Kama utaipitia hotuba ya Mudhihiri, Mnyaa na wengine - hoja ilikuwa ni Waraka uliotolewa na Wizara kujaa vipengere vya kukataza uvuvi huu na ule, sehemu za kufanyia uvuvi usiku na hata vifaa vya uvuvi. Kwa madai ya wabunge hao, kataza kataza hio itawaathiri wavuvi wadogo wadogo ambao kipato chao kinategemea moja kwa moja uvuvi huo kwa miaka kadha wa kadha.


Nadhani mkuu,tumeelewana.
haikua maana yangu kuleta swala la ukabila wala kikanda,sisi watanzania hatuna mambo hayo na kwetu swala hilo haliakuja kamwe,(shukrani kwa Nyerere).
Ni kweli,kama baadhi ya watu hapa JF wangeacha kukosoa na kujua Mudhihili(Mudhihiri) amesema nini na kwa sababu zipi basi atleast tungejua nini kinachoendelea kwenye wizara hii na kazi jinsi gani inafanywa.
Au tukijaribu kum-judge Mudhihili kwa alichofanya nyuma (swala la Zitto Kabwe) na kuufumbia macho mchango wake mahsusi na wenye mantiki na faida kwa Taifa hili ni kutomtendea haki yeye na sisi wenyewe na hasa wapiga kula wake ambao wengi ni wavuvi pale Nchinga.
 
naona huyu ni mudhihir mwenyewe anajifagilia hapa, karibu bwana mudhihir, ila ukumbuke kuwa domo lako lilikuponza mpaka ukapoteza mkono



You got it all wrong......Pronto!

Ok any ways,Mimi Sanda Matuta aka Mudhihili (Mudhihiri) M. Mudhihili. sio mbaya ukinipa wewe U-Heshimiwa.

Sio mbaya sana unajua mimi na Muheshimiwa wote ni watu wa Pwani kwangu Mlingotini wilaya ya Bagamoyo na yeye ni wa Nchinga mkowa wa Lindi,if at all you know Geography ya Nchi yako.

One thing though........Hivi ilikuaje mpake nikapoteza ule mkono...?
 
You got it all wrong......Pronto!

Ok any ways,Mimi Sanda Matuta aka Mudhihili (Mudhihiri) M. Mudhihili. sio mbaya ukinipa wewe U-Heshimiwa.

Sio mbaya sana unajua mimi na Muheshimiwa wote ni watu wa Pwani kwangu Mlingotini wilaya ya Bagamoyo na yeye ni wa Nchinga mkowa wa Lindi,if at all you know Geography ya Nchi yako.

One thing though........Hivi ilikuaje mpake nikapoteza ule mkono...?


.............High Speeding na kuendesha huku umelewa
 
Suala sio la ukabila.
Issue ni kuwa viongozi wa mambo ya ufugaji wawe na asili ya ufugaji. Viongozi wa uvuvi watoke kwenye jamii zenye asili ya kuvua.
Hii itasaidia viongozi hao kutodanganywa na wataalamu waliojaa theories.

Kama utaipitia hotuba ya Mudhihiri, Mnyaa na wengine - hoja ilikuwa ni Waraka uliotolewa na Wizara kujaa vipengere vya kukataza uvuvi huu na ule, sehemu za kufanyia uvuvi usiku na hata vifaa vya uvuvi. Kwa madai ya wabunge hao, kataza kataza hio itawaathiri wavuvi wadogo wadogo ambao kipato chao kinategemea moja kwa moja uvuvi huo kwa miaka kadha wa kadha.

Kwa hiyo unamaana hata Viongozi wa Nchi watoke kwenye Jamii/Familia zenye asili ya Uongozi ? ?? ??? !!!!! Ili isaidie viongozi hao kutodanganywa na wataalam waliojaa Ufisadi?
NDUGU YANGU MAWAZO YAKO NI YA KIKABILA. NA WEWE NI MKABILA UNA CHUKI NA WACHAGA.
 
Kwa hiyo unamaana hata Viongozi wa Nchi watoke kwenye Jamii/Familia zenye asili ya Uongozi ? ?? ??? !!!!! Ili isaidie viongozi hao kutodanganywa na wataalam waliojaa Ufisadi?
NDUGU YANGU MAWAZO YAKO NI YA KIKABILA. NA WEWE NI MKABILA UNA CHUKI NA WACHAGA.

kama nimemuelewa vizuri Mgirima hakua na maana hii hata kidogo au wewe unajaribu ku-misslead mawazo yake.
Nadhani imefika wakati swala hili la ushirikishwaji wa wenyeji wa mahara furani au sema proffessional wa kitu furani kuwa katika kitenge chake rather hii michepuo michepuo kujaribu kuziba nafasi ndio hasa inaleta hata UFISADI (kwa hari zote)
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa hii ilianza toka awamu ya pili,pale Prof.Sarungi alipotolewa wizara ya afya kwenda wizara ya Ulinzi(kama niko sawa hapa)toka wakati huu mambo yamekua mchanganyiko.
Hao wapanga watu kazi wamepata kama kajisababu yaani Daktari anaweza kwenda kuwa Mvuvi au Mchunga ngombe kuwa kuwa mvuvi kama kawaida na watu wala hwashangai kwamba inaweza kuwa ule msemo wa 'kuvaa nguo ya ndani kichwani' na wewe ukaona umependeza kwa kofia mpya.(kama naeleweka hapa)
 
Wakurugenzi wote wa uvuvi wanatokea Kilimanjaro.

Mchaga na uvuvi wapi na wapi!

Panahitajika kuwe na watu wanaoujua uvuvi ulivyo.

Mgirima,
Haya majungu sasa, hakuna hata mkurugenzi mmoja wa uvuvi ambaye ni mchaga, au sijui unazungumzia wakurugenzi wepi? mkurugenzi Nanyaro ni mmeru, Wakurugenzi wasaidizi ambao ni Mwanaidi Mlolwa wa kahama, Esther Mndeme wa singida ila kaolewa na mtu wa arusha, na Haule ni mngoni, na Mbilinyi wa Iringa. Huo ni uchochezi na haustahili kuendekezwa hapa JF. Kazi ya Mkurugenzi siyo kuvua samaki, ni kutunga sera na kuzisimamia, kama ingekuwa hivyo basi kuna makabila hapa nchini wangekuwa hawana kazi za kufanya.
 
Japo haijajitokeza vilivyo katika mada, ninachoweza kuona ni kuwa he is making a point on livelihoods and vulnerability.For many, pastoralism and fishing are not considered as livelihoods in their own right worthy respecting.Ndio maana jamii hasa za wafugaji mara zote huonwa kama ni livelihhods in transition.Kwa mtizamo huohuo wavuvi na wafugaji hawapewi heshima na kipaumbele kinachosatahili.Badala ya kushirikishwa watoe inputs,watunga sera wanawaamulia as if they know it all.
NI MUHIMU WAULIZWE WATOE UZOEFU WAO!
 
Moja ya menu ndani ya ndege fulani za nchi za kiarabu ni bacon.
Hivi Bacon si kiti moto eti?

Duuh,
Sasa hao warabu wa wapi Palestine au Qatary?
Kama swala ni BIZINESS mimi naona wazungu kila siku Bongo NUSU UCHI wakati hiyo sio MIRA na DESTURI zetu na serikali ni wakari kwenye mambo ya vivazi vya nusu uchi,je unaniamabiaje hapo?
 
Duuh,
Sasa hao warabu wa wapi Palestine au Qatary?
Kama swala ni BIZINESS mimi naona wazungu kila siku Bongo NUSU UCHI wakati hiyo sio MIRA na DESTURI zetu na serikali ni wakari kwenye mambo ya vivazi vya nusu uchi,je unaniamabiaje hapo?

Naona kama unatutoa nnje ya mada.
Nilitoa kama maoni yangu kumpongeza Mh,Mudhihili kutikana na mchango wake bungeni kwenye kikao cha bajeti ya wizara ya mifugo na uvuvi na wala sio kwamba waarabu wameweka menu ya kiti moto kwenye ndege yao na sio swala la mavazi Bongo.
 
Baadhi ya wasifu wa Mheshimiwa Mudhihir uko hapa - http://tinyurl.com/6fnc86

Hahahahahah nimeona wasifu wa mh Mudhihiri, umbe elimu yake ni kidato cha nne na cheti cha ualimu tu? High school hakufika maana inaonyesha alisoma kwa mwaka mmoja kwenye private school isiyo na jina, short course ya sheria chuo kikuu cha Dar es salaam...na Washington University alikojaribu BA (General) naona maji yalizidi unga hakumaliza...ni ujanja ujanja tu aliisha wahi kuwa waziri huyu mmmhhh kazi ipo...
 
Nadhani mkuu,tumeelewana.
haikua maana yangu kuleta swala la ukabila wala kikanda,sisi watanzania hatuna mambo hayo na kwetu swala hilo haliakuja kamwe,(shukrani kwa Nyerere).
Ni kweli,kama baadhi ya watu hapa JF wangeacha kukosoa na kujua Mudhihili(Mudhihiri) amesema nini na kwa sababu zipi basi atleast tungejua nini kinachoendelea kwenye wizara hii na kazi jinsi gani inafanywa.
Au tukijaribu kum-judge Mudhihili kwa alichofanya nyuma (swala la Zitto Kabwe) na kuufumbia macho mchango wake mahsusi na wenye mantiki na faida kwa Taifa hili ni kutomtendea haki yeye na sisi wenyewe na hasa wapiga kula wake ambao wengi ni wavuvi pale Nchinga.

Sanda Matuta = Mh Mudhihiri M Mudhihiri, tumekusoma baba jifagilie
 
Sanda Matuta = Mh Mudhihiri M Mudhihiri, tumekusoma baba jifagilie

Kukanusha sitoweza kama unapicha ya Mh.Mudhihiri basi tafadhali niwekee kwenye PM ili niiweke kama aviator yangu,ili nikulidhishe wewe na wengine mnao dhani mimi ni Mudhihiri
 
Back
Top Bottom