doup
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 2,346
- 2,151
Komba na hesabu wapi na wapi?
Ndio tatizo la kuchaguwa wabunge waliozoea mipasho tu, uwezo wa kufikiri ni mdogo saaana.
Jana nilimshangaa sa "Huyu kubwa Jinga", kaasa kwa mipasho, kamaliza kama mtu aliyetakiwa awe mirembe.
uchangiaji wake ulijaa zaidi ya 90% malalamiko, tena ya kuponda serikali. arafu anakwambia naunga mkono 100 kwa 100. ni heri tu angesama naunga mkono ingetosha, lakini 100 kwa 100 na malalamiko kibao.