Hongera mbunge wa Ubungo

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
basi tumsifiwe kaimu mkuu wa mkoa kwa maji kutoka wakazi kwenye jimbo ya ubungo
<br />
<br />
Mkuu wa mkoa na kaimu mbona walikuwapo maji ayakutoka mpaka wapigania uhuru walivyoandamana?. Ndo leo nyie mamisaburi mnajua kuwa kaimu ni mkuu wa mkoa? Wakat ye ameweka misaburi yake kwenye ofc zetu za uma ameshindwa kushugulikia hadi mambo ya gongo la mboto
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mkuu wa mkoa na kaimu mbona walikuwapo maji ayakutoka mpaka wapigania uhuru walivyoandamana?. Ndo leo nyie mamisaburi mnajua kuwa kaimu ni mkuu wa mkoa? Wakat ye ameweka misaburi yake kwenye ofc zetu za uma ameshindwa kushugulikia hadi mambo ya gongo la mboto
<br />
<br /
tumemsifia mbunge wa ubungo imekuwa tabu.Wagongo la mboto poleni ndo inchiii yetuuuu
 
cha ajabu jimbo la Kinondoni awana tatizo la maji lakini hili kino wapate maji razima ya pite ubungo ndo ya fike kinondoini Pia na wizara ya maji hipo ubungo na maji ya tabu why

Kinondoni gani unayoongelea wewe mbona watu huku maji ni kununua na visima tu au unasema kinondoni ya Ada estate teh teh teh.


magogoni penyewe kuna standby generator na kisima cha maji ya chumvi Sasa wewe mwananchi wa ubungo kwa nini usiiige mfano. teh teh teh teh

Mi nilishauri njia rahisi yakupunguza kero kwa dar ni hizi nyumba za wakubwa kujengwa shemu mbali mbali za jiji. Nyingine ubungo, nyingine mbagala nyingine, gongolamboto nyingine Sinza, nyingine Magomeni etc.

Kwa style hii mkurungezi wa idara ya maji wizara ya maji anaiyeishi nyumba ya serikali mbagala mbagala akiwasiliana na mkurugenzi wa TANESCO anayeishi kweny nyumba ya serikali ubungo watapeana update vizuri.

Sassa hivi wote wako masaki hakuna mwenye feeling au anayeyaona na kuyapata kila siku matatizo ya wananchi.
 
Mzee Wa Rubisi! Leo naona umechanganya Rubisi na Vldimir Vodka, unaandika posts then unajijibu mwenyewe
 
Kuna usafi unaoweza kufanyika bila maji na umeme. Hata mpangilio mzuri tu wa mambo ni usafi. Lakini hapo stendi kila kitu shaghalabaghala. Mivumbi, vikwapa, kuchomekeana, vibao vya matangazo visivyoonekana....yaani ovyo ovyo kabisa.
<br />
<br /
pale kuna uongozi wa magamba
 
Back
Top Bottom