Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
kumbe kajifungua.
was abt to ask the sameExcuse my ignorance.
But who on earth is Mange Kinambi?
Hamjatuambia ni nani!
Watu mbona wako obsessed sana na huyu mdada?
Mdada mwenyewe ndiye social climber aliyeji prostitute kwa kutoa ten social climbers commandments.
Watu wanadaka kila kinachotolewa, huyu dada na JD wako mstari wa mbele kujipromote out there, kwa hiyo it is more about wao wanavyoji toa out here on the web kuliko watu wanavyowafuatilia.
I doubt kwamba kuna paparazzi walimfuata mpaka hospitalini, more like yeye mwenyewe katoa hizo picha.
Last Thursday Mange kimambi alipata mtoto wa kiume kwa jina la Kenzo hongereni sana for a handsome baby boy...
View attachment 13308View attachment 13309View attachment 13311View attachment 13310
Kule U-Turn haijawekwa? At least sasa MK atapumzika na kulea mtoto - maana bulogu ilikuwa inampeleka pabaya!