nina was wasi sana na hawa wawakilishi wetu katika jumuiya ya A.M maana kimsingi wote wanamtazamo mmoja, toka lini wana ccm wakawa na uzalendo wa kweli , kama tunavyoona wanajumuiya wanavyotuchulia sasa , heshima ya Tanzania imeshuka sana as the result ya wawakilishi wa CCM ambao wanakwenda huko wakiwa hawajui maslai ya nani wayaweke mbele as Long as CC yao inayooongozwa na wakwere ndo inawaamlia wafanye nini na waseme nini .. anyway ... NIMESKITIKA SANA, ILA KILA LA KERI , MSITUANGUSHE TENA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.