Agreed,mkuu vipi una mpango wa kuibadili avatar yako?Kwenye swala la kuchora vikaragosi kuhusu masuala ya Tanzania, He is a Genius
Big Up Mazee
Kweli mkuu.Kipanya is the best cartoonist around. No doubt!
The good thing is jamaa si kihivyo, anajitambua sana katika kazi zake na ameikubali nafasi ambayo anahisi Mungu wake amempangia katika hii dunia. He is a man of the peopleSema hatujafika bei tu, ngoja tuzichangishe utamsikia akisema CCM oyeeeee
Na naamini attampts nyingi kumshawishi zimefanyika na kushindwa.The good thing is jamaa si kihivyo, anajitambua sana katika kazi zake na ameikubali nafasi ambayo anahisi Mungu wake amempangia katika hii dunia. He is a man of the people
Bravo bravo KP,bado unazitoa.Ni miongoni mwa legends tulio no hapa nchini na the biggest(cartoonist) of all the time....