Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana ziara za kutembelea wizara mbalimbali zinazofanywa na mhe rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Nitakuwa mnafiki,mzandiki na mpinga maendeleo endapo nitachelea kumpa hongera mhe JK juu ya hoja na makosa anayotoa karibu katika kila wizara anayotembelea kasoro wizara ya kilimo chakula na ushirika hapa hakuniteka hisia zangu hata kidogo.
Mhe rais JK alinifurahisha zaidi alipoweza kuwakosoa mawaziri wa wizara za miundombinu, mifugo na uvuvi na maendeleo ya jamii. Ukiwa mwepesi w
Nitakuwa mnafiki,mzandiki na mpinga maendeleo endapo nitachelea kumpa hongera mhe JK juu ya hoja na makosa anayotoa karibu katika kila wizara anayotembelea kasoro wizara ya kilimo chakula na ushirika hapa hakuniteka hisia zangu hata kidogo.
Mhe rais JK alinifurahisha zaidi alipoweza kuwakosoa mawaziri wa wizara za miundombinu, mifugo na uvuvi na maendeleo ya jamii. Ukiwa mwepesi w