RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
Hiyo miundo yenyewe ipo jamani au ndo hii hii aliyokuja kimalizia kabisa mhindi? Tusije tukashuhudia maafa. Sidhani kama hiko kitu kipo na kinawezekana kwa sasa kama kawaida uchaguzi unakuja kwahiyo muda wa ahadi hewa na porojo ndo huu. Wameshindwa wa mabasi sembuse na train bwana? Hawa vijana wa bagamoyo wantaka kutufanya mazezeta sasa