Asante mkuu wa nchi.
Nakumbuka usemi wa mzee mmoja ambae alisema" atakachosema mkuu wa nchi hadharani kugeuka kama sheria" . hivyo basi tunaomba TANROAD , watendaji wa ardhi MTULIE. Acheni kutunyanyasa tumejima we kukajenga sasa mnatuonea donge na tujibanda twetu kwa sababu nyie bado mnapanga huko sinza na masaki. Asante mkuu maana sasa hivi tutalala usingizi mololo. jamani usiombe nyumba yako kupigiwa x .
Nakumbuka usemi wa mzee mmoja ambae alisema" atakachosema mkuu wa nchi hadharani kugeuka kama sheria" . hivyo basi tunaomba TANROAD , watendaji wa ardhi MTULIE. Acheni kutunyanyasa tumejima we kukajenga sasa mnatuonea donge na tujibanda twetu kwa sababu nyie bado mnapanga huko sinza na masaki. Asante mkuu maana sasa hivi tutalala usingizi mololo. jamani usiombe nyumba yako kupigiwa x .