QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Hongera ITV kujiondoa CCM
Ni wengi wetu walioona uzi nilioweka hapa JF uliokuwa na kichwa cha tangu lini ITV ikawa CCM ambapo ITV walikuwa wanarusha taarifa za habari za CCM pekee. Baada ya uzi huo na wanaJF wengi kuchangia, kumekuwa na mabadiliko makubwa mpaka sasa.
Hii ni nzuri. Lakini angalieni.. Tembo akisifiwa ..
Ni wengi wetu walioona uzi nilioweka hapa JF uliokuwa na kichwa cha tangu lini ITV ikawa CCM ambapo ITV walikuwa wanarusha taarifa za habari za CCM pekee. Baada ya uzi huo na wanaJF wengi kuchangia, kumekuwa na mabadiliko makubwa mpaka sasa.
- kwanza habari zake zinacover karibia wagombea wote ambao wapo kwa nia ya kushindana
- Pili muda hautofautiani sana wakati habari zikirushwa.
- Inaonesha kuwa chombo hiki ni cha kijamii zaidi badala ya kuegemea chama fulani
Hii ni nzuri. Lakini angalieni.. Tembo akisifiwa ..