Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
kila lenye baya alikosi kuwa na jema'
hongera EL kwa kuozesha kimwana cha pale Temeke hospital
tunashukuru kwa uvumilivu wako kwa kumkabidhi kijana mtoto
wako ...natumaini aikuangaliwa shekeli kukubali...na natumaini
kijana hatakuwa katika walimwengu wa ufisadi,,,la asha atafwata nyayo
za mkwewe kwa kula chake mapema...hongera tena mzee
SIFA KWA YESU
hongera EL kwa kuozesha kimwana cha pale Temeke hospital
tunashukuru kwa uvumilivu wako kwa kumkabidhi kijana mtoto
wako ...natumaini aikuangaliwa shekeli kukubali...na natumaini
kijana hatakuwa katika walimwengu wa ufisadi,,,la asha atafwata nyayo
za mkwewe kwa kula chake mapema...hongera tena mzee
SIFA KWA YESU