Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
Viva mwakyembe.
Unayojaribu kuiingiza hapa ni topic nyingine for another day, topic ambayo Dr. Mwakyembe alishawahi kuiongelea na bila shaka maelezo yako ni sehemu ya nukuu kutoka kwake.Naunga mkono hongera anazopewa mh mwakyembe, but guys worldwide hakuna biashara ya train inayotegemea abiria, bali biashara ya train inategemea usafirishaji wa mizigo kwani gharama za kuendesha train haziwezi kufidiwa kwa nauli za abiria bali nauli hizo huwa NI charges tu ambazo bila faida ya usafirishaji wa mizigo, hizo charges are nothing. So mapinduzi ya usafirishaji kwa njia ya train yatakuwa successfully kama tu mizigo mikubwa kutoka na kuingia bandarini na sehemu zingine za nchi zitaanza kutumia train kusafirishwa. Barabara za lami worldwide hazitumiki kusafirisha heavy cargo,ni Tanzania tu ambapo mafisadi wanamiliki malori na ndo wanalazimisha barabara zibebe mizigo mizito.
Kidumu Chama cha Mapinduzi
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA