Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
imepita takribani miaka mitatu kabla ya hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) kufikia uamuzi wa kuteua mkurugenzi mtendaji ambaye kwa sasa atakuwa Dr Marina njelekela.
huyu mama amewahi kuwa mwenyekiti wa chama cha madaktari wanawake Tanzania na anaheshimika kwa mchango wake hasa katika kuhamasisha kampeni ya kugundua kansa ya matiti Tanzania.namuona ni kati ya wanawake wenye mafanikio makubwa hapa Tanzania,ni mwanamke jasiri na mbunifu.namtakia mafanikio mema katika kazi yake mpya pale muhimbili.
HONGERA MAMA MEWATA!!!!
huyu mama amewahi kuwa mwenyekiti wa chama cha madaktari wanawake Tanzania na anaheshimika kwa mchango wake hasa katika kuhamasisha kampeni ya kugundua kansa ya matiti Tanzania.namuona ni kati ya wanawake wenye mafanikio makubwa hapa Tanzania,ni mwanamke jasiri na mbunifu.namtakia mafanikio mema katika kazi yake mpya pale muhimbili.
HONGERA MAMA MEWATA!!!!