Hongera chegeni, pole mwakyembe!

LazaroSMtindi

Senior Member
May 6, 2008
100
5
Nampa hongera nyingi Dk. Chegeni kwa kuweza kuwatumia Police vizuri hadi kuokoa maisha yake. Nampa POLE "yatima" Dk. Mwakyembe ambaye kila njama dhidi yake haifanyiwikazi na Polisi badala yake anajibiwa na magazeti ya RAI,MTANZANIA na TANZANIA DAIMA bila kukemewa na vyombo husika kwa kuingilia mchakato rasmi wa kisheria. Wanakosoa kila neno kwenye malalamiko ya Mwakyembe utadhani wanamwambia kuwa anyamaze kwani alisha hukumiwa siku nyingi adhabu ya kifo! Masikini Mwakyembe, POLE!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom