mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
Hapa ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine; mjadala wa siasa huwa haufungwi au ndio unatufunga midomo; mbona JK alishawahi kusema kuwa "MWISHO WA UCHAGUZI MMOJA UNAANDA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MWINGINE" MAANAKE SIASA ZINAENDELEA