mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Tulisema mwana mkaidi hafaidi hadi siku ya iddtukaonekana wajinga. Mshahara wa dhambi ni mauti na mshahara wa matusi ni aibu.Hongera CHADEMA kufanya kampeni za kistaarabu na hongera Lusinde kwa kuwafukuzawapiga kura kwa mitusi yako ya nguoni. Halo halo!