PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
habar JF!<br />
Muda wa saa kumi leo jioni nlipanda dala dala la kutokea mwenge kwenda Tandika DCM lenye usajili T 741 AEG (MOCHANA). Kumbe dereva kalewa kinoma...abiria wamelalamika kuhusu dereva mwendo na kutojali...alipofika maeneo ya karume kulikua foleni ..bahati askar wa njia wa kike akaelezwa na abiria tatizo hilo akamkemea dereva ili apaki pembeni..dereva kwa jeuri ya ulevi akamtukana huyo askari. Mwenendo na kutojali kama kawaida. Dereva akasema asimami popote na haipeleki gari kituo cha polis mpaka ifike mwisho (tandika). Mara askar wa bara baran wa kike akaomba msaada ili askari aliepo bara bara ya nyerere na kuingia veta asiruhusu gari kupita zitokeazo mwenge(karume)...ili akamatwe atolewe ndani ya gari...lakin dereva alikua mvishi sana hakukubali kuiachia gari ikawa vurugu japo aliingia askari wa bara bara wa kiume...kuanzia hapo ilikua tunasubiri lolote kutokea ..maana dereva huyo aliendelea kuendesha hovyo hovyo ndani ya gari...kelele ndani ya gari kwa akina mama na watoto za kuomba msaada zikiendelea! ''tunakufa jamani...tuokoeni dereva atatuua huyo...amelewa jamani!'' nawanukuu!
Nilipiga simu kwenye namba yao ya kuzuia uhalifu na taarifa mbali mbali nilipokelewa haraka na kuwapa maelezo na namba ya gari na mahali tulipo wakati huo.
Bahti nzuri njia alizozipita huyo dereva za ndan ndan mara akafika maduka mawili Chang'ombe hapo kulikua na foleni ..wakt dereva akijiandaa aipitishe pembezuni mwa bara bara ndipo abiria wakamvamia dereva kwa nguvu na kufanikiwa kumtoa nje ya gari huku askari wa Land cruiser wakiwa wameshafika eneo la hatari. Hapo niliamini askari wetu wapo makini ...maana gari zilifika tatu zikiwa na askari kwa kudhibiti hali yoyote ya hatari na kuizima. Walimchukua dereva ...mara na askari wa doria wa piki piki walikua wamefika. Hali ilikua ni shwari na abiria wote Tunamshukuru Mungi tulikua salama salimini. Baadhi ya abiria walishuka ilipopatikana nafasi ili waweke mawe kuizuia gari hawakufanikiwa.
Kwa hili nawapongeza sana askari wetu.
Nawakilisha!
Muda wa saa kumi leo jioni nlipanda dala dala la kutokea mwenge kwenda Tandika DCM lenye usajili T 741 AEG (MOCHANA). Kumbe dereva kalewa kinoma...abiria wamelalamika kuhusu dereva mwendo na kutojali...alipofika maeneo ya karume kulikua foleni ..bahati askar wa njia wa kike akaelezwa na abiria tatizo hilo akamkemea dereva ili apaki pembeni..dereva kwa jeuri ya ulevi akamtukana huyo askari. Mwenendo na kutojali kama kawaida. Dereva akasema asimami popote na haipeleki gari kituo cha polis mpaka ifike mwisho (tandika). Mara askar wa bara baran wa kike akaomba msaada ili askari aliepo bara bara ya nyerere na kuingia veta asiruhusu gari kupita zitokeazo mwenge(karume)...ili akamatwe atolewe ndani ya gari...lakin dereva alikua mvishi sana hakukubali kuiachia gari ikawa vurugu japo aliingia askari wa bara bara wa kiume...kuanzia hapo ilikua tunasubiri lolote kutokea ..maana dereva huyo aliendelea kuendesha hovyo hovyo ndani ya gari...kelele ndani ya gari kwa akina mama na watoto za kuomba msaada zikiendelea! ''tunakufa jamani...tuokoeni dereva atatuua huyo...amelewa jamani!'' nawanukuu!
Nilipiga simu kwenye namba yao ya kuzuia uhalifu na taarifa mbali mbali nilipokelewa haraka na kuwapa maelezo na namba ya gari na mahali tulipo wakati huo.
Bahti nzuri njia alizozipita huyo dereva za ndan ndan mara akafika maduka mawili Chang'ombe hapo kulikua na foleni ..wakt dereva akijiandaa aipitishe pembezuni mwa bara bara ndipo abiria wakamvamia dereva kwa nguvu na kufanikiwa kumtoa nje ya gari huku askari wa Land cruiser wakiwa wameshafika eneo la hatari. Hapo niliamini askari wetu wapo makini ...maana gari zilifika tatu zikiwa na askari kwa kudhibiti hali yoyote ya hatari na kuizima. Walimchukua dereva ...mara na askari wa doria wa piki piki walikua wamefika. Hali ilikua ni shwari na abiria wote Tunamshukuru Mungi tulikua salama salimini. Baadhi ya abiria walishuka ilipopatikana nafasi ili waweke mawe kuizuia gari hawakufanikiwa.
Kwa hili nawapongeza sana askari wetu.
Nawakilisha!