MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #101
Hakuna Mapenzi siku hizi kudanganyana kwiiiingiiiiii Love ni msemo tu kama misemo mingine lakini si watu wanamaanisha mtu anakwambia "I Love you so much DA" akigeuka "I Love you so much MJ1" wapi na wappi..............
MJ1 usitegemee sana vile wewe unavyompenda Asprin (mfano) ndivyo yeye anavyokupenda
DA aksante sana kwa post yako hahah ngoja Asprin aje hapa anipe ruhsa Mjukuu wake Mtiifu hahahah