Honestly, Isnt it Possible?? (Je ni Kweli haiwezekani kabisa??)

Hakuna Mapenzi siku hizi kudanganyana kwiiiingiiiiii Love ni msemo tu kama misemo mingine lakini si watu wanamaanisha mtu anakwambia "I Love you so much DA" akigeuka "I Love you so much MJ1" wapi na wappi..............
MJ1 usitegemee sana vile wewe unavyompenda Asprin (mfano) ndivyo yeye anavyokupenda

DA aksante sana kwa post yako hahah ngoja Asprin aje hapa anipe ruhsa Mjukuu wake Mtiifu hahahah
 
lakini hapa babu vise versa pia ni true, siyo? nina maana hata nyie huko nje mnatumiwa tu kama kijiko cha mama ntilie...............ha ha haaaaaaa (usinichape babu)

Hahahahahahhahahah,

Hiyo ni lazima FP,

Unadhani mikono ikifulia mche wa sabuni na kuumaliza itabaki salama bila kuumia??

Both way ni sawa....Ukitumia lazima na wewe utatumika tu!!

Babu DC!!
 
Aksante sana Da Kaunga kwa post hii nimejifunza mambo mawili, desparate na expectations. However inaniwia ngumu kidogo kuelewa katika situation nyinginezo. Mfano, umempata mtu ambaye mmekaa kwa muda mkakubaliana kuwa wapenzi, kisha ghafla been vuu mahali ambapo ndio kwanza matumaini yanaanza kukujia na wewe unaanza kuisimika trust kwake then vruuuuu anakutenda. Sasa hapo udesparate na expectations vinaingiaje? Au mie ndo sijakuelewa

Hapo hakuna despration labda kidogo saana expectations. Bwana dilema kwenye mapenzi zinasumbua saana tena saana tu; yaani mapenzi ya sasa yanatufanya tupende kwa machale/mguu moja nje mwingine ndani; sasa some of us ambao kupenda nusu nusu hatuwezi, ndio wahanga, na zaidi wale ambao tuonesha wazi kuwa tunapenda.

Hakuna jibu la moja kwa moja, hivyo kama umempata mtu na mkaanza vizuri wakati inaanza kuchanganya akakutenda; hakuna zha zaidi na kujifariji kwa kuona kuwa ni his/her loss; kwani amepoteza the most beautiful thing in this world (love). Tulia kwa muda, bila kujiumiza sana kwa maself analysis; live your life akitokea mwingine, go for it.

hakuna jibu rahisi, ukiweza kuzuia au kuficha hisia zako, be like that lakini kama huwezi then be yourself na ukitendwa ni part and parcel of the love life.
 
lakini hapa babu vise versa pia ni true, siyo? nina maana hata nyie huko nje mnatumiwa tu kama kijiko cha mama ntilie...............ha ha haaaaaaa (usinichape babu)

Mpango wa kando kazi yake matumizi tu hakuna kulea watoto wala kufua shati na suruali za mzee
 
Hahahahahahhahahah,

Hiyo ni lazima FP,

Unadhani mikono ikifulia mche wa sabuni na kuumaliza itabaki salama bila kuumia??

Both way ni sawa....Ukitumia lazima na wewe utatumika tu!!

Babu DC!!
ha haaaaaaaaaaaaaa, shikamoo BABU DC. nimependa kuwa na nyie mnajua mnatumika, lol! sasa kwa nini msijiachie tu?
 
Mpango wa kando kazi yake matumizi tu hakuna kulea watoto wala kufua shati na suruali za mzee
umeona eeeeh! kuna uncle wangu alikuwa na mipango ya kando kibao............ cha ajabu hakuna suruali ilikuwa inafuliwa nje.................... lakini wa siku hizi wanafua wanapotaka kukukomoa usirudi home..................... nasikiwa huwa wanaloweka nguo makusudi, lol
 
Hii post inasikitisha, hasa pale unamuita mwenzi wako haramia. Mimi siamini kama kuna maharamia wa mapenzi hata kidogo. Tuangalia sana vyanzo vinavyoweza kumfanya mtu kuwa haramia, mwizi etc. Wake kwa waume tumeyafanya mapenzi kuwa kama comedy fulani hivi, kitu ambacho kinatupelekea kuwa desperate na kutoaminiana.

Kwa mtazamo wangu, mapenzi ni matamu sana, ila ukiamua kwa hiari yako mwenyewe yanaweza kuwa machungu. Mapenzi siyo ya lazima ila ni muhimu, unaposema siyo lazima uwe na mpenzi au kuwa kwenye penzi nahisi unajinyima haki ya msingi. Tuangalie vitu muhimu vya kukuza penzi, mapungufu yarekebishwe uone kama kutakuwa na haramia wa mapenzi hata mmoja.

Pia tujenge ustaarabu wa kusahau mabaya na kukumbuka mazuri, nafikiri humtendei mtu anayekuelezea upendo wake kwako na kumfananisha na aliyepita kwa ubaya. Forgive and forget. Wanawake tuwaombee waume zetu kwa bidii.

Aksante Mama wa Upako. Nisamehe kwa matumizi mabaya ya lugha ninayawithdraw ingawa kusema ukweli wapo wale walioko katika extremes.........
Nimependa ujumbe wa kuwaombea waume zetu.
 
umeona eeeeh! kuna uncle wangu alikuwa na mipango ya kando kibao............ cha ajabu hakuna suruali ilikuwa inafuliwa nje.................... lakini wa siku hizi wanafua wanapotaka kukukomoa usirudi home..................... nasikiwa huwa wanaloweka nguo makusudi, lol


Ukiona mwanamke wa hivyo ujue huyo hajui kula na kipofu ukimlaza nje mume wa mtu unatakaje? Asije?? Heshima ndo mpango mzima hapa kucheat kupo. Labda ukute huyo hajatoa mshiko ndo maana anakomolewa
 
Naona sasa wewe unaanza uchokozi....

Kwa ufupi, nje ya Bibi DC kunaweza kuwa na ngono + ujinga ujinga na kachumbari za uongo na ukweli. Ila naomba kusisitiza hapa (underlined and bolded)...HAKUNA MAPENZI NJE YA BIBI ila kunaweza kuwa na upendo kwa binadamu wenzangu, watoto wangu, ndugu na marafiki!!

Umeelewa FP??

Next time usimchokonoe Babu, sawa?

Babu DC!!
Babu DC nakuelewa sana ila naomba nikuulize, unaposema hakuna mapenzi nje ya Bibi una maanisha nini? Kwamba hakuna kwa sababu umemuoa yeye au kwa sababu unampenda? Kwa sababu kama ni kwa kuwa umemwoa then kumbuka kuwa hata nyie mlianzia katika mahusiano (ambayo kwa maoni ya mwengi hapa ndio ambayo yako prone to kudanganyana)

Najiuliza tu kwa nguvu Babu.
 
Aksante sana Da Kaunga kwa post hii nimejifunza mambo mawili, desparate na expectations. However inaniwia ngumu kidogo kuelewa katika situation nyinginezo. Mfano, umempata mtu ambaye mmekaa kwa muda mkakubaliana kuwa wapenzi, kisha ghafla been vuu mahali ambapo ndio kwanza matumaini yanaanza kukujia na wewe unaanza kuisimika trust kwake then vruuuuu anakutenda. Sasa hapo udesparate na expectations vinaingiaje? Au mie ndo sijakuelewa

Hawa viumbe hasa miaka hii hawaaminiki kabisa mama angu,dunia inaelekea mwisho. Mtu anaweza kukujia na uongo na vishawishi vya kila aina ili tu akupate, akishakupata na wewe ndio unaanza eti kumuamini anakutoka bila hata kutegemea, Kama huwezi kukaa bila mpenzi inabidi utake usitake ujifunze kupenda nusu nusu mamito, maisha yenyewe mafupi haya
 
Mzee DC (Ulikataa jina la Babu wakati wa Babu wa Loliondo) Haya mapenzi anayozungumzia MJ1 hapa naona ni kujiumiza hivi kweli kwa zama hizi kuna mtu anampenda mwenzie kwa dhati hilo halipoooooooooo!!!! Kataa ukubali huo ndo ukweli...

MJ1 anazungumzia kuumizwa (I guess) maana yaweza kuwa kampenda mtu kwa dhati na jamaa kaonyesha mapenzi kweli kweli akaja kumtenda sio kuambiwa live.....roho imemuuma zaidi.......................Mie siku hizi kiukweli sina mapenzi nina upendo tuu tena roho yangu na ubongo wangu havishirikiani kabisa kukomaa kwa mtu na kuona ananipenda HAKUNA MAPENZI SIKU HIZI BANA

Sidhani kama hii ndivyo inavyotakiwa kuwa DA au ndo mambo ya Adaptation na mitigations haya?
Pili kutokana na definitions zilizotolewa na kina Babu Asprin juu ya Mapenzi na Upendo naona kama mnazidi kunichanganya!!

Na mwisho ni je ni sahihi kwetu sasa kuvaa ngozi za kondoo kwa wapenzi wetu? Kuwa ninakupenda na uamini ninakupenda kwa nje ilhali rohoni niko vuguvugu?? Kwa sababu kitendo cha kuwa vuguvugu inamaanisha unaishi kwa matumaini kuwa labda siku moja atanitenda so nami nijijengee shield kwa kinga???

Nadhani Kaunga amenielewesha kidogo, live life to the fullest, including kupenda kwa moyo wako wote (Lakini ukiwa tayari kukubali kuwa lolote laweza kutokea) si ndio maana ya kuwa part and parcel ya kupenda? au
 
Last edited by a moderator:
Hawa viumbe hasa miaka hii hawaaminiki kabisa mama angu,dunia inaelekea mwisho. Mtu anaweza kukujia na uongo na vishawishi vya kila aina ili tu akupate, akishakupata na wewe ndio unaanza eti kumuamini anakutoka bila hata kutegemea, Kama huwezi kukaa bila mpenzi inabidi utake usitake ujifunze kupenda nusu nusu mamito, maisha yenyewe mafupi haya

Maty aksante kwa post yako, so tunakubaliana kuna uwezekano wa mtu kuishi bila kupenda (Kimapenzi) na only pale anaposhindwa kuishi hivyo ndipo anapostahili kupenda kimachale (Ambayo kwangu natamani niitafutie jina lingine)
 
Sidhani kama hii ndivyo inavyotakiwa kuwa DA au ndo mambo ya Adaptation na mitigations haya?
Pili kutokana na definitions zilizotolewa na kina Babu Asprin juu ya Mapenzi na Upendo naona kama mnazidi kunichanganya!!

Na mwisho ni je ni sahihi kwetu sasa kuvaa ngozi za kondoo kwa wapenzi wetu? Kuwa ninakupenda na uamini ninakupenda kwa nje ilhali rohoni niko vuguvugu?? Kwa sababu kitendo cha kuwa vuguvugu inamaanisha unaishi kwa matumaini kuwa labda siku moja atanitenda so nami nijijengee shield kwa kinga???

Nadhani Kaunga amenielewesha kidogo, live life to the fullest, including kupenda kwa moyo wako wote (Lakini ukiwa tayari kukubali kuwa lolote laweza kutokea) si ndio maana ya kuwa part and parcel ya kupenda? au

You got it right, kwangu mimi hiyo inafanya kazi vizuri zaidi; kwani nimeshashindwa kabisa kupenda nusu nusu bora nijikatalie kupenda kabisa na ni replace hiyo kupenda na vitu vingine tofauti vya kunikeep busy!
 
Sidhani kama hii ndivyo inavyotakiwa kuwa DA au ndo mambo ya Adaptation na mitigations haya?
Pili kutokana na definitions zilizotolewa na kina Babu Asprin juu ya Mapenzi na Upendo naona kama mnazidi kunichanganya!!

Na mwisho ni je ni sahihi kwetu sasa kuvaa ngozi za kondoo kwa wapenzi wetu? Kuwa ninakupenda na uamini ninakupenda kwa nje ilhali rohoni niko vuguvugu?? Kwa sababu kitendo cha kuwa vuguvugu inamaanisha unaishi kwa matumaini kuwa labda siku moja atanitenda so nami nijijengee shield kwa kinga???

Nadhani Kaunga amenielewesha kidogo, live life to the fullest, including kupenda kwa moyo wako wote (Lakini ukiwa tayari kukubali kuwa lolote laweza kutokea) si ndio maana ya kuwa part and parcel ya kupenda? au

Sijui kama umenielewa sawa sawa kupenda kupo lakini siwezi nikajisemea eti na yeye ananipenda vile anavyonipenda mie nadhani (nina mazoea mapenzi yaliniisha siku nyinginilishatenda yakanichosha)
 
umeona eeeeh! kuna uncle wangu alikuwa na mipango ya kando kibao............ cha ajabu hakuna suruali ilikuwa inafuliwa nje.................... lakini wa siku hizi wanafua wanapotaka kukukomoa usirudi home..................... nasikiwa huwa wanaloweka nguo makusudi, lol

Hii ilinikuta Chuda hii mbona nilimaliza wiki 2 huko huko nguo hazikauki.
 
Maty aksante kwa post yako, so tunakubaliana kuna uwezekano wa mtu kuishi bila kupenda (Kimapenzi) na only pale anaposhindwa kuishi hivyo ndipo anapostahili kupenda kimachale (Ambayo kwangu natamani niitafutie jina lingine)

Hapo tunakubaliana kabisa

Sijui kama umenielewa sawa sawa kupenda kupo lakini siwezi nikajisemea eti na yeye ananipenda vile anavyonipenda mie nadhani (nina mazoea mapenzi yaliniisha siku nyinginilishatenda yakanichosha)

Na saa nyingine yanachosha kabisa kama asemavyo dena
 
Hapa babu umenena MJI asipoelewa tena baaaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssss

Hapa Maty nimeelewa mpenzi mapenzi yes unawezaishi bila kwayo lakini si upendo ambao ninatumia definition ya Babu Asprin hapa. Ila hapo kwenye dozi hapo jamani mbona mnanichanganya zaidi?? Dozi inawezatolewa pasipo mapenzi? au ndo ya one nite stand tena? No emotions attached?
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom