Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Tena ni bora watu wakatambua hili.Ngono na upendo ni vitu viwili tofauti!
Umesoma hiyo post ya Babu Asprin hapo juu?
Hakika JF ina vichwa.......Laiti wangekubali kuwakabidhi hii nchi.
Naamini kuna team hapa ambayo ingeweza kuendesha kila idara ya nchi hii bila kuhitaji consultant wa Kichina, Kihindi wala Mthungu!!
Babu DC!!