Esther Kimario
Member
- Nov 17, 2011
- 62
- 13
Ndugu yangu anatafuta Honda CRV, bajeti yake ni 7M. Aliyenayo ikiwa kwenye hali nzuri na akaona offer hii inamfaa anitaarifu jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kimya jamani? Au offer za namna hii ndo huwa zinafuatiwa na comments za "kanunue bajaji?" ... Anyway, mwenye taarifa jamani..Pse!
Ndugu yangu anatafuta Honda CRV, bajeti yake ni 7M. Aliyenayo ikiwa kwenye hali nzuri na akaona offer hii inamfaa anitaarifu jamani.
hiyo hela yako unataka kuitupa tu dada,hiyo siyo gari.wasiliana na mtu anaitwa gadaf au allyee,nimember hapa jf kama hujui id ya alyee tafuta post moja ya jana japo siikumbuki vyema aliituma na heading buy cheap cars from japan,am not sure kama title nimeipatia,ila search tu humu utaipata
Dada sikushauri kabisa kabisa kununua honda crv wewe wasiliana na allyee akusaidie tafuta hata hata rav4 milango mitatu au hata nadia zinakufaa achana na crv ni bomuuuu kama subaru forester
hiyo hela yako unataka kuitupa tu dada,hiyo siyo gari.wasiliana na mtu anaitwa gadaf au allyee,nimember hapa jf kama hujui id ya alyee tafuta post moja ya jana japo siikumbuki vyema aliituma na heading buy cheap cars from japan,am not sure kama title nimeipatia,ila search tu humu utaipata
Oh jamani asanteni kwa kunifumbua macho! Mi nilijua ni moja wapo ya gari ngumu? But rav 4 milango mitatu sizipendi. Labda nihamishie interest kwenye escudo. Naombeni ushauri juu ya hii basi na kama its ok basi nigeuze tangazo lisomeke Escudo badala ya CRV
escudo ni gari nzuri ni kanyaga twende,lami na hata tope,spea zipo nyinyi