Mzawa Halisi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 637
- 361
Kwani mkuu wazee wa mafeki/wachina hawana blue ray dvd's mtaani?
Hiyo attachment ni Blu Ray kwa mujibu wa ganda lake, lakini ubora wa picha bora hata picha iliyopigwa na zile 8mm analog camera za zamani zile.