Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
- #141
pilau juzi mtaani......
Are you serious?...namiss sana pilau especially lile la wakati wa iddi hata unawe mikono vipi harufu mkoni haiishi na siyo unalila kwa kutumia kijiko oloo no...maana linafaa kwa kutumia mikono...i miss that so much.