FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
ama kweli kwetu mambo tambarare kwa sana :A S 39:
Da! kwa bahati mbaya kwangu picha haipokei, zinatokea alama ya X nyekundu.
Nimekosa uhondo.
Ubarikiwe F1 saa ya lunch hii umenipa appetite ya kula leo ofisini maana huwa mvivu kweli.
PROTINI na STACHI kwa wiiiiiiiiiiiiiiingiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Mboga za majani na matunda kiduchuuuuuuuuuuuuu!
Kweli bongo menu weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa