Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh rose ???????????????endelea kushuhudia....utaona meli inatia nanga mda si mrefu...usiondoke mtuwangu apo apo tulia....
Kumbe hii hotel iliyoko azikiwe kule juu ni uwanja wa helikopta..! Nimeshuhudilea leo saa 3 asubuhi hii.
ile ndo parking ya ile choppa.kitambo tu inapaki.huwa inapiga misele ya igunga na kurudi.
Rose umeanza!endelea kushuhudia....utaona meli inatia nanga mda si mrefu...usiondoke mtuwangu apo apo tulia....
na haka kamsemo inabidi kalipiwe gharama sasaJf is never boring..
shangaa sana wenzio wanaiita hiyo kiwanja helicapKumbe hii hotel iliyoko azikiwe kule juu ni uwanja wa helikopta..! Nimeshuhudilea leo saa 3 asubuhi hii.
Wawekezaji walikuwa wanashuka kwenye chopa
sio helicap ni helipad teheteheshangaa sana wenzio wanaiita hiyo kiwanja helicap
Kwa jinsi mafisadi wanavyotuibia sioni tofauti ya aliyewahi au kuchelewa kuja dar.ndo umefika dar leo ? karibu hii ndo dsm
Kwa jinsi mafisadi wanavyotuibia sioni tofauti ya aliyewahi au kuchelewa kuja dar.
Si kila nikijuwacho mimi nawe unakijuwa.....na wala sitamuona mshamba mtu kwa kutojuiwa kitu nikijuwacho............. Mbona yapo mengi tu mnayajulia JF, magazetini, kwenye stori, n.k..... TATIZO LA WALIO WENGI NI KUWA HAWAJUI KUWA HAWAJUI............. Ni afadhari kwa anayejuwa kuwa hajui kwani atafanya juhudi za kujuwa........ LAKINI KWA ASIYEJUWA KUWA HAJUI..ATAKAA TUU AKIDHANI ANAJUWA KUMBE HAJUI........ TUKUMBUKE KUWA....A STUPID QUESTION WILL REMAIN STUPID UNTILL WHEN IT IS ASKED.............Mi nacheka tu, hivi nyie kushangaa ni tatizo? Kama unajuwa unafikiri na wenzako wanajua? Acheni ulimbukeni nyie. Kila mtu ana haki ya kushangaa anavyoweza, kuna wengine wanajishebedua tu hapa hawajawahi ona hiyo ndege ikitua huko ila kwa sababu mmoja kaonyesha kushangaa ndiyo mumuone mshamba.
MXIIIIIIIIi
Nilitaka tu kuwaeleza kuwa kuwahi kuja Dar au kuchelewa au kuzaliwa dar haimaanishi au si lazima imaanishe wewe ni mjanja SAAAANAAAA........... NYIE WA DAR NDO MNAOINGIZWA MJINI KILA ........... Si mnamkumbuke yule aliyepigwa LAPTOP au wanaopigwa magari hasa pale MLIMANI CITY.........?!! HIVI MNADHANI WALE NI WAKISHUMUNDU..??? WA HAPA HAPA..........dar ina uhusiano gani na mafisadi.
sio helicap ni helipad tehetehe
endelea kushuhudia....utaona meli inatia nanga mda si mrefu...usiondoke mtuwangu apo apo tulia....
Ngoja ukutane na baadhi ya watu hapa JF waanze kukuita mshamba kwa vile tu hujui hiyo hotel iko wapi..........kwani holiday inn iko wapi wakuu?
Mana hata iyo hotel siijui mbona.