Nikweli watu wamekuwa wakiuliza hili swali ila sio spesho sredi kama hivi bali walikuwa wanalichomekea ndani ya nyuzi nyingine za Mkutano, na majibu yalikuwa yakitolewa ndo maana nawaambia muwe makini na huyu mzee mwanakijiji sababu hakuona kuchangia mawazo yake kule kwingine bali afungulie uzi wake na mambumbu wa humu JF wanajichanganya sababu ya saikolojia yake ya kucheza na vichwa vya habari pamoja na kujazia nyama mawazo ya wengine, Mlimani mtu kama huyu tunamwita "Professional desa"
na chama kina ruzuku ya kutosha na wanachama ni waaminifu kwa kulipia kadi , mi nadhani yale viongozi wetu wa chama wanayo ya hubiri hasa kuhusiana na matumizi mabaya ya hela za serikari wangari yatumia pia chamani nadhani ingeri saidia kuongeza kipatoKuna kitu kimeanza kunisumbua katika kufikiria muendelezo wa mikutano mbalimbali ya CDM.. ili nisije kujikuta napotoka nimeonelea kwanza niulize kwa wale wenye kujua lengo la mkutano mkubwa wa CDM Jangwani siku ya Jumamosi lilikuwa ni nini na kama lilifikiwa au la. Kuna uwezekano kulikuwa na malengo mbalimbali kama vile:
a. Kuanzia M4C kitaifa (ni marudi ya lile la Arusha ambalo nalo lilirushwa kitaifa?)
b. Kuwaambia wananchi kuhusu Katiba Mpya... (ilihitaji mkutano mkubwa?)
c. Kuwaeleza wananchi ubovu wa watendaji wa serikali (mbona kubadiilsha mawaziri ni ushahidi wa wazi)
d. Kupata wanachama wengi (idadi ya 3000 kama ilivyotangazwa ni kidogo sana kulinganisha kama ingeweza kufanywa kwa namna nyingine)
e. Kuchangisha fedha kwa ajili ya chama (za nini?zinachangia CDM taifa au CDM mahali?; zimepatikana kiasi gani hadi hivi sasa?)
f. x,y
Kwa maana ninaanza kutotaka kuona political acrobatics za kuvutia.. maana baada ya Jumamosi kupita leo Jumatatu na wiki hii watu hawa waliohamasishwa wanafanya nini? Na wale wa mikoani walikohamasishwa na wanakoendelea kuhamasika wanafanya nini baada ya kujiunga na mwamko wa mabadiliko a.k.a M4C?
Nitawasoma kisha nitatoa mawazo yangu - inshallah - kwenye toleo la Jumatano la gazeti..
I never new this!!Mwanakijiji kuna mahali pana shida au jambo ambalo halijajulikana sidhani kama CDM inahitaji kuita watu jangwani ili wavue gamba na kuvaa gwanda, pia sidhani kama wanaweza kuita watu jangwani ili kufanya harambee ya chama, pia siamini kama kwa muda ule wangeweza kuelimisha juu ya muungano au hata uundwaji wa katiba mpya.
Kwangu mimi nafikir malengo yao yalipaswa kuwa juu zaid ya hapo, unless kama wanayafanya siri ila kwa uelewa wangu mdogo CDM inatakiwa iuze sera zake mbele za watu ionyeshe japo ina M4C lakin wao wana sera gapi ambaazo zinamtetea mtanzania, na mpaka sasa katika sera hizo kwa kuwa ni chama kikubwa cha upinzani wamefanya nini.
Nahofia kuwa yawezekana kabisa kuna ambayo wao waliyatoa kama sehem ya hotuba zao za kuhamasisha lakni yatatumiwa na CCM kama ilani yao au moja ya sera ake kwa wakati ujao.
Namshauri Mbowe kaka yangu aangalie kwa makini watanzania wanataka nini na watueleze wa mikakati gani ya kutupa yale tunayoyataka. hili nafikir liwe ndio lengo kubwa la kampeni hii ya M4C. tena wawe makini sana manake kama vijana wa kiume ndio waliokuwa wengi pale, wakifuatiwa na vijana wa makamu basi ajue hapo pana mob psychology tu ambayo after certain period yaweza kuhamishiwa kwingine. Watu wanahitaji kujua sera za chama, na mbinu au njia gani zitatumika kutimiza sera hizo tena elim hii baada ya kuambiwa basi wapewe na vikabrasha vitakavyo elezea haya kwa umakini.
jamani naomba tu msinishambulie
malengo yalifikiwa kwa zaidi ya 100%, kama chama cha siasa kinatakiwa kufanya kazi ya siasa, na fahamu mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine, kila wanapopita wanaongeza hamasa kwa wapenzi na mashabiki ya kuwa chadema ni chama mbadala, chadema ni chama cha watu kipo kwa ajili ya kumkomboa mtanzania kutoka katika utawala wa kifisadikuna kitu kimeanza kunisumbua katika kufikiria muendelezo wa mikutano mbalimbali ya cdm.. Ili nisije kujikuta napotoka nimeonelea kwanza niulize kwa wale wenye kujua lengo la mkutano mkubwa wa cdm jangwani siku ya jumamosi lilikuwa ni nini na kama lilifikiwa au la. Kuna uwezekano kulikuwa na malengo mbalimbali kama vile:
A. Kuanzia m4c kitaifa (ni marudi ya lile la arusha ambalo nalo lilirushwa kitaifa?)
b. Kuwaambia wananchi kuhusu katiba mpya... (ilihitaji mkutano mkubwa?)
c. Kuwaeleza wananchi ubovu wa watendaji wa serikali (mbona kubadiilsha mawaziri ni ushahidi wa wazi)
d. Kupata wanachama wengi (idadi ya 3000 kama ilivyotangazwa ni kidogo sana kulinganisha kama ingeweza kufanywa kwa namna nyingine)
e. Kuchangisha fedha kwa ajili ya chama (za nini? Zinachangia cdm taifa au cdm mahali?; zimepatikana kiasi gani hadi hivi sasa?)
f. X,y
kwa maana ninaanza kutotaka kuona political acrobatics za kuvutia.. Maana baada ya jumamosi kupita leo jumatatu na wiki hii watu hawa waliohamasishwa wanafanya nini? Na wale wa mikoani walikohamasishwa na wanakoendelea kuhamasika wanafanya nini baada ya kujiunga na mwamko wa mabadiliko a.k.a m4c?
Nitawasoma kisha nitatoa mawazo yangu - inshallah - kwenye toleo la jumatano la gazeti..
Ile sadaka na mimi ilishangaza ingawa si sana. Utaratibu wake haukunivutia na hasa kutoka kwenye chama kinachoaminiwa kuwa makini na cha kisasa zaidi. Sisi huku vijijini sadaka hatuna!
Kuna kitu kimeanza kunisumbua katika kufikiria muendelezo wa mikutano mbalimbali ya CDM.. ili nisije kujikuta napotoka nimeonelea kwanza niulize kwa wale wenye kujua lengo la mkutano mkubwa wa CDM Jangwani siku ya Jumamosi lilikuwa ni nini na kama lilifikiwa au la. Kuna uwezekano kulikuwa na malengo mbalimbali kama vile:
a. Kuanzia M4C kitaifa (ni marudi ya lile la Arusha ambalo nalo lilirushwa kitaifa?)
b. Kuwaambia wananchi kuhusu Katiba Mpya... (ilihitaji mkutano mkubwa?)
c. Kuwaeleza wananchi ubovu wa watendaji wa serikali (mbona kubadiilsha mawaziri ni ushahidi wa wazi)
d. Kupata wanachama wengi (idadi ya 3000 kama ilivyotangazwa ni kidogo sana kulinganisha kama ingeweza kufanywa kwa namna nyingine)
e. Kuchangisha fedha kwa ajili ya chama (za nini? zinachangia CDM taifa au CDM mahali?; zimepatikana kiasi gani hadi hivi sasa?)
f. x,y
Kwa maana ninaanza kutotaka kuona political acrobatics za kuvutia.. maana baada ya Jumamosi kupita leo Jumatatu na wiki hii watu hawa waliohamasishwa wanafanya nini? Na wale wa mikoani walikohamasishwa na wanakoendelea kuhamasika wanafanya nini baada ya kujiunga na mwamko wa mabadiliko a.k.a M4C?
Nitawasoma kisha nitatoa mawazo yangu - inshallah - kwenye toleo la Jumatano la gazeti..
inamaana Mwanakijiji huoni if there is something gained by CDM from the meeting? Do you mean CHADEMA's Popularity in Dar is just the same as it was before the meeting?
Do you mean the 'fear' that CCM has on CDM is just the same as it was before the meeting?