zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nimesema:
Ni nani abishae, hata mwakilishi wa Vodacom alipewa muda mrefu kuelezea hiyo huduma kuliko wana siasa.
Lengo lilikuwa ni kuitangaza Vodacom Mpesa.
Rostam Aziz ni kichwa hapana mchezo, unaijuwa "Hap Ki Do", ni kutandikwa kwa nguvu zako mwenyewe!
Ni nani abishae, hata mwakilishi wa Vodacom alipewa muda mrefu kuelezea hiyo huduma kuliko wana siasa.