Jamii iko juu,
tunachukua kutoka magazeti kisha tunazichanganua kwa kina maana zinakuwa ni data (most of them)
lakini huku JF hoja zinaanzia kwenye data hadi kuwa information huku huku.
sasa kitu kishakuwa information hakiuziki sokoni, na magazeti yako kwa ajili ya kuuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.